Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ina kasoro’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amebaini kuwapo kwa kasoro katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kituo cha Sheria chataja kasoro Rasimu ya Katiba

RASIMU ya Pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kukosa mambo matano muhimu kwa wananchi, ambayo ni ya haki za msingi kwa ajili ya ustawi wa watu. Mambo hayo yametajwa katika kipeperushi kilichoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa ajili ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kujadiliwa

Mkurugenzi wa Utetezi, Maboresho na Sheria wa LHRC, Harold SungusiaKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema kinajipanga kutumia wanasheria, kujadili na kufanyia kazi baadhi ya vifungu vyenye utata vilivyopo katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjumbe alia na sheria ya mabadiliko ya Katiba

KITENDO cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kuwapa nafasi kubwa wabunge wa jamhuri ya muungano na wale wa Serikali ya Zanzibar kushiriki kama wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba imechangia...

 

11 years ago

Habarileo

Sheria Mabadiliko ya Katiba kaa la moto

HOFU ya kutopatikana kwa Katiba mpya, baada ya changamoto zilizojitokeza wakati wa awamu ya kwanza ya Bunge Maalumu la Katiba, sasa ni dhahiri. Hofu hiyo inaonekana katika mahojiano maalumu kati ya waandishi wa gazeti hili na Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, Yahaya Khamis Hamad.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Simba ya Phiri ina kasoro tatu’

Beki na kocha wa zamani wa Simba, Amri Said amesema Mzambia, Patrick Phiri amekabidhiwa timu hiyo ikiwa na kasoro tatu kubwa ambazo zitamfanya ashindwe kuanza vizuri Ligi Kuu msimu huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume kutafiti kasoro sheria za walaji

TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...

 

10 years ago

Mwananchi

CUF walia na kasoro Mchakato wa Katiba

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema busara inahitajika kuiepusha nchi kuingia katika mgogoro wa kisiasa kutokana na hali halisi iliyojitokeza katika suala la kutafuta Katiba Mpya.

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani