‘Simba ya Phiri ina kasoro tatu’
Beki na kocha wa zamani wa Simba, Amri Said amesema Mzambia, Patrick Phiri amekabidhiwa timu hiyo ikiwa na kasoro tatu kubwa ambazo zitamfanya ashindwe kuanza vizuri Ligi Kuu msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
‘Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ina kasoro’
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.
Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’
10 years ago
TheCitizen30 Oct
Simba’s Phiri given ultimatum
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Phiri kurudisha heshima Simba
![Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Patrick-Phiri.jpg)
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA JENNIFER ULLEMBO
KOCHA mpya wa klabu ya Simba, Patrick Phiri, ametua nchini jana na kusema amekuja na malengo ya kurudisha heshima katika timu hiyo ambayo imepotea katika kipindi ambacho imekuwa haifanyi vizuri.
Phiri ni kocha mwenye historia nzuri na klabu hiyo msimu wa ligi kuu wa 2009/2010, ambapo aliweza kuisababisha timu yake hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo bila kufungwa mchezo hata mmoja.
Licha ya kuweka rekodi hiyo, lakini pia amewahi kunyakua...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Phiri anogewa mfumo wa 3-5-2 Simba
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Phiri ajivunia kiwango Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amesema kutokana na ubora wa kikosi alichonacho anauhakika kuwa kikosi hicho kitatwaa ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015. Kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Goran kumrithi Phiri Simba
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Phiri awatoa hofu Simba