Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.

Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

JB: Chungu cha tatu ni filamu ghali zaidi

jbNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem.

Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo.

“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu

Staa wa Bongo Movies  ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa  filamu,  Jerusalem Film Company, Jacob Stephen  ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.

Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Filamu ya ‘Chungu Cha Tatu’ yamalizika sokoni siku tatu baada ya kuachiwa

Chungu Cha Tatu

Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.

Chungu Cha Tatu

Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.

“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...

 

9 years ago

Bongo5

JB ashindwa kuiachia filamu yake mpya ‘Chungu Cha Tatu’, awaomba mashabiki wavute subira

Sio wasanii wa muziki pekee walioathirika kutokana na kampeni za siasa zinazosababisha wengi wao kushindwa kutoa kazi zao katika kipindi hiki cha uchaguzi, bali hata wasanii wa filamu. Muongozaji na muigizaji wa filamu za Bongo , Jacob ‘JB’ Stephen amewaomba mashabiki wake wavute subira kutokana na kushindwa kuiachia filamu yake mpya iitwayo ‘Chungu Cha Tatu’ […]

 

9 years ago

Habarileo

Zitto:ACT Wazalendo ina majibu kero ya maji

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema serikali itakayotokana na Chama hicho baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu itaanzisha mfuko wa wakala wa maji vijijini kwa ajili ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Simba ya Phiri ina kasoro tatu’

Beki na kocha wa zamani wa Simba, Amri Said amesema Mzambia, Patrick Phiri amekabidhiwa timu hiyo ikiwa na kasoro tatu kubwa ambazo zitamfanya ashindwe kuanza vizuri Ligi Kuu msimu huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ina njia tatu za kurejesha ‘mabilioni ya Uswisi’

Kuna njia tatu ambazo Serikali ya Tanzania ikiamua kuzitumia inaweza kurejesha mabilioni ya fedha zake ambazo zimefichwa nchini Uswisi na kwingineko duniani, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA WAATAALAM KUTOKA WIZARA YA UCHUKUZI WATEMBELEA KITUO CHA HALI YA HEWA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE (JNIA) NA UJENZI WA JENGO LA TATU LA ABIRIA (TERMINAL III)

 Mkurugenzi wa Mradi wa Jengo la Tatu la Abiria(Terminal III), Mhandisi Mohammed Milanga(mwenye suti), akiwaeleza wataalam kutoka Wizara ya Uchukuzi, namna ya mradi unavyoendelea, waliotembelea Mradi huo leo asubuhi kuona maendeleo ya Ujenzi wake. Wa kwanza kushoto ni  Afisa Usafirishaji kutoka Wizara ya Uchukuzi,Bw. Biseko Chiganga na kushoto kwa Chiganga ni Afisa Usafirishaji,Bw. Said Marusu.

 Mkurugenzi wa Mradi wa Jengo la Tatu la Abiria (Terminal III), Mhandisi Mohammed Milanga,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mapenzi Yampa Ulaji Wema ‘Chungu cha 3’

Muigizaji na Muongozaji mkongwe wa bongo movies, Jacob Stephen ‘jb,  amesema aliamua kumpa uchezajui mkuu wa filamu yake ya CHUNGU CHA TATU staa mrembo Wema Sepetu kutokana na umahiri wa masanii huyu kwas sababu amemudu sana sehemu za nmapenzi.

Aidha, Jb alisema Wema huwa makini katika uigizaji  wa nafasi yake anayopangiwa na pia ni mwepesi wa kukubali kuwekwa  katika kila sehemu atakayoambiwa acheze.

Watu watarajie mambo mazuri kutoka katika filamu  ya chungu cha tatu ambayo itakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani