Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filamu ya ‘Chungu Cha Tatu’ yamalizika sokoni siku tatu baada ya kuachiwa

Chungu Cha Tatu

Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.

Chungu Cha Tatu

Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.

“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika Sokoni , Wauza Feki Mbaroni

JB

JB

Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.

Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.

“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...

 

9 years ago

Bongo5

JB adai filamu yake mpya ‘Chungu cha Tatu’ ni ghali zaidi kuwahi kuifanya

Chungu Cha Tatu

Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema filamu yake mpya ya ‘Chungu cha Tatu’ aliyofanya na Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizowahi kufanywa na kampuni yake ya Jerusalem Films.

Chungu Cha Tatu

Akizungumza na gazeti la Mtanzania hivi karibuni , JB alisema akiisema gharama ya filamu hiyo TRA watataka kujua pesa hizo amezipata wapi.

“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno naweza...

 

9 years ago

Mtanzania

JB: Chungu cha tatu ni filamu ghali zaidi

jbNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem.

Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo.

“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno...

 

9 years ago

Bongo5

JB ashindwa kuiachia filamu yake mpya ‘Chungu Cha Tatu’, awaomba mashabiki wavute subira

Sio wasanii wa muziki pekee walioathirika kutokana na kampeni za siasa zinazosababisha wengi wao kushindwa kutoa kazi zao katika kipindi hiki cha uchaguzi, bali hata wasanii wa filamu. Muongozaji na muigizaji wa filamu za Bongo , Jacob ‘JB’ Stephen amewaomba mashabiki wake wavute subira kutokana na kushindwa kuiachia filamu yake mpya iitwayo ‘Chungu Cha Tatu’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu kuisaliti ndoa yake kwenye ‘Chungu Cha Tatu’

Wema Sepetu

Wema Sepetu amevaa uhusika kwenye filamu ya Chungu Cha Tatu kama mwanamke aliye ndani ya ndoa lakini anashindwa kujizuia na kuamua kutoka na wanaume wengine ili kukidhi mahitaji yake.

Wema Sepetu

Akizungumza na Bongo5, afisa masoko wa kampuni ya Steps Entertainment, Kambarake alisema filamu hiyo italeta msisimko kutokana na mwanadada huyo kuivaa vyema uhusika wake.

“Wema ndio mhusika mkuu na ameingia kwenye mahusiano anajikuta anaingia kwa mwanaume fulani labda atapata anachohitaji. Kwahiyo mapenzi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.

Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu

Staa wa Bongo Movies  ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa  filamu,  Jerusalem Film Company, Jacob Stephen  ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.

Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo

Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.

IMG_6776

 Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8

kassim kayiraMBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.

Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.

Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani