Filamu ya ‘Chungu Cha Tatu’ yamalizika sokoni siku tatu baada ya kuachiwa
Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.
Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.
“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika Sokoni , Wauza Feki Mbaroni
![JB](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb34.jpg)
JB
Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.
Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.
“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...
9 years ago
Bongo515 Dec
JB adai filamu yake mpya ‘Chungu cha Tatu’ ni ghali zaidi kuwahi kuifanya
![Chungu Cha Tatu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chungu-Cha-Tatu-300x194.jpg)
Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema filamu yake mpya ya ‘Chungu cha Tatu’ aliyofanya na Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizowahi kufanywa na kampuni yake ya Jerusalem Films.
Akizungumza na gazeti la Mtanzania hivi karibuni , JB alisema akiisema gharama ya filamu hiyo TRA watataka kujua pesa hizo amezipata wapi.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno naweza...
9 years ago
Mtanzania14 Dec
JB: Chungu cha tatu ni filamu ghali zaidi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem.
Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo.
“Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa wasanii nadhani TRA itawafuata, lakini nimetumia gharama kubwa mno...
9 years ago
Bongo526 Sep
JB ashindwa kuiachia filamu yake mpya ‘Chungu Cha Tatu’, awaomba mashabiki wavute subira
9 years ago
Bongo520 Nov
Wema Sepetu kuisaliti ndoa yake kwenye ‘Chungu Cha Tatu’
![Wema Sepetu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Wema-Sepetu-300x194.jpg)
Wema Sepetu amevaa uhusika kwenye filamu ya Chungu Cha Tatu kama mwanamke aliye ndani ya ndoa lakini anashindwa kujizuia na kuamua kutoka na wanaume wengine ili kukidhi mahitaji yake.
Akizungumza na Bongo5, afisa masoko wa kampuni ya Steps Entertainment, Kambarake alisema filamu hiyo italeta msisimko kutokana na mwanadada huyo kuivaa vyema uhusika wake.
“Wema ndio mhusika mkuu na ameingia kwenye mahusiano anajikuta anaingia kwa mwanaume fulani labda atapata anachohitaji. Kwahiyo mapenzi...
10 years ago
Bongo Movies13 Aug
JB: Chungu cha Tatu Ina Majibu ya Hali Hii..
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amedokeza kuwa filamu ya Chungu cha Tatu inayomjumuisha staa mrembo, Wema Sepetu itaingia sokoni hivi karibuni.
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, JB aliandika haya mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.
Umeshawahi kuwa katika mahusiano ambayo yalikatika lakini bado moyo wako unapenda??? Unajua kinachofata kila penzi jipya halikai maana moyo uko huko kwa mwanzo.
Chungu cha Tatu ina majibu ya hali hii, tunajaribu kuitoa filam hii haraka...
10 years ago
Bongo Movies16 May
JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu
Staa wa Bongo Movies ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu, Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.
Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo
Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8
MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.
Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.
Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...