Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8
MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.
Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.
Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Kassim Kayira: Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV
Kassim Kayira.
Kassim Kayira, mtu ambaye hakuwahi kuwaza kama angeweza kuwa mtu tajiri na maarufu kama alivyo, kupitia uandishi wa habari na utangazaji, amepambana kujiweka mahali pazuri na sasa anapata kila kitu alichokosa utotoni na anasimulia maisha yake.
Wiki iliyopita, aliishia pale alipoacha kazi baada ya kuona mazingira siyo mazuri, kwamba aliundiwa zengwe baada ya kuanika ufisadi mkubwa uliofanywa na viongozi katika serikali ya Kagame, ikihusisha ununuzi wa magari ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng9FHRA9Hml7xfzJ0dzR3erG8EaQCkk1Eh5e3sHpa21wGLM63obbYxY0IR8dOoGACmowt47PutdZ7s*o7hlO5ppH/maxresdefault.jpg?width=650)
KAYIRA, IDD SEIF WAACHA KAZI BBC
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s1600/j1.jpg)
Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...
9 years ago
Bongo518 Dec
Filamu ya ‘Chungu Cha Tatu’ yamalizika sokoni siku tatu baada ya kuachiwa
![Chungu Cha Tatu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chungu-Cha-Tatu-300x194.jpg)
Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.
Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.
“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...
10 years ago
MichuziMAFUNZO YA SIKU TATU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII (SOCIAL MEDIA) YAFUNGWA NA KAMISHNA WA KAZI NA UTUMISHI WA UMMA ZANZIBAR.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJBhAI51g-*Q*FCCg8GIRa4uoep6R-UZ7MN3qBJpBSr6ie4TOx1ecYccQQDyrbfhM4uvJOP65P1gYKxttOHHwH7F/aunt1.jpg?width=650)
SIMULIZI YA AUNT EZEKIEL: ILIKUWA AOLEWE AKIWA MDOGO, AKATOROKA NYUMBANI KWAO!
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
11 years ago
Michuzi21 Mar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jofetq*bRFDtGPnyK6DD6mZNmae0vXvhgUnwLbYHGq6qFyfi3RLidYn32ugvre6Zz1WeQXCFJmUrCf3-Rx6M2X1/JB1.gif?width=650)
SIMULIZI YA JB: AFANYA KAZI NA RACHIE WATENGANA?