Kassim Kayira: Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV
Kassim Kayira.
Kassim Kayira, mtu ambaye hakuwahi kuwaza kama angeweza kuwa mtu tajiri na maarufu kama alivyo, kupitia uandishi wa habari na utangazaji, amepambana kujiweka mahali pazuri na sasa anapata kila kitu alichokosa utotoni na anasimulia maisha yake.
Wiki iliyopita, aliishia pale alipoacha kazi baada ya kuona mazingira siyo mazuri, kwamba aliundiwa zengwe baada ya kuanika ufisadi mkubwa uliofanywa na viongozi katika serikali ya Kagame, ikihusisha ununuzi wa magari ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV 7
Ahamishiwa kijijini, aacha kazi!
VYEMA kusoma historia za watu waliofanikiwa maishani. Kujua walikotoka na jinsi walivyofanikisha malengo yao, ni kichocheo kikubwa katika kukutia hamasa ya kuzidi kupambana na maisha.
Kassim Abraham Kayira ni miongoni mwa waliogeuza ndoto kuwa uhalisia. Ni mmoja wa watangazaji maarufu ulimwenguni. Amepitia vituo mbalimbali vya kitaifa na kimataifa. Hapa anasimulia jinsi safari yake ilivyokuwa ngumu kuyafikia mafanikio ya utangazaji aliyonayo.
Yapo matukio...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FiztFdiPwCoQPJ6c5ZXVZ61HOqP1YZ8ERlo*xyO0aKsxhbBRV3xJS4j78WUqeAA66enN31zaXvc7HBXvWGF2WaKTEt3q7c2f/14_04_kassimk_843.jpg?width=650)
KUTOKA MKIMBIZI, BABANTILIE, BBC HADI AZAM TV -2
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8
MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.
Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.
Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng9FHRA9Hml7xfzJ0dzR3erG8EaQCkk1Eh5e3sHpa21wGLM63obbYxY0IR8dOoGACmowt47PutdZ7s*o7hlO5ppH/maxresdefault.jpg?width=650)
KAYIRA, IDD SEIF WAACHA KAZI BBC
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s72-c/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s640/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5l3Kdc4YmPc/Vj_LeFN3TRI/AAAAAAABaCk/JWd78YsnaUg/s640/azam.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Mkazi wa Singida aliyeuwa baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Jengo la Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida mahali mahakama kuu inaendelea na vikao vyake.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Mkulima mkazi wa kijiji cha Damankia kata ya Dungunyi wilaya ya Ikungi mkoani Singida,Silvery Adriano (56), amehukumiwa na mahakama kuu kanda ya Dodoma inayoendelea na vikao vyake mjini hapa,adhabu ya kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuuwa baba yake mzazi kwa makusudi.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa mshitakiwa Silvery...