KUTOKA MKIMBIZI, BABANTILIE, BBC HADI AZAM TV -2
![](http://api.ning.com:80/files/FiztFdiPwCoQPJ6c5ZXVZ61HOqP1YZ8ERlo*xyO0aKsxhbBRV3xJS4j78WUqeAA66enN31zaXvc7HBXvWGF2WaKTEt3q7c2f/14_04_kassimk_843.jpg?width=650)
Mtangazaji wa Azam, Kassim Kayira. MTANGAZAJI wa kimataifa, Kassim Kayira ndiye anayetupambia ukurasa huu. Anasimulia kila kitu kuhusu maisha yake, tangu kuzaliwa hadi alipo sasa. Ni simulizi tamu, yenye kusisimua na iliyojaa mafunzo mengi kuhusu maisha na mafanikio. Mitihani, misukosuko, mihangaiko, mateso na mikikimikiki aliyokutana nayo, ndiyo imekuwa chachu na ngazi muhimu ya kumfikisha hapo alipo sasa. Hii ni sehemu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV 7
Ahamishiwa kijijini, aacha kazi!
VYEMA kusoma historia za watu waliofanikiwa maishani. Kujua walikotoka na jinsi walivyofanikisha malengo yao, ni kichocheo kikubwa katika kukutia hamasa ya kuzidi kupambana na maisha.
Kassim Abraham Kayira ni miongoni mwa waliogeuza ndoto kuwa uhalisia. Ni mmoja wa watangazaji maarufu ulimwenguni. Amepitia vituo mbalimbali vya kitaifa na kimataifa. Hapa anasimulia jinsi safari yake ilivyokuwa ngumu kuyafikia mafanikio ya utangazaji aliyonayo.
Yapo matukio...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Kassim Kayira: Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV
Kassim Kayira.
Kassim Kayira, mtu ambaye hakuwahi kuwaza kama angeweza kuwa mtu tajiri na maarufu kama alivyo, kupitia uandishi wa habari na utangazaji, amepambana kujiweka mahali pazuri na sasa anapata kila kitu alichokosa utotoni na anasimulia maisha yake.
Wiki iliyopita, aliishia pale alipoacha kazi baada ya kuona mazingira siyo mazuri, kwamba aliundiwa zengwe baada ya kuanika ufisadi mkubwa uliofanywa na viongozi katika serikali ya Kagame, ikihusisha ununuzi wa magari ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s72-c/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s640/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-5l3Kdc4YmPc/Vj_LeFN3TRI/AAAAAAABaCk/JWd78YsnaUg/s640/azam.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD6DkqwfqqHXa9ewhOiWlx*FJmfbVS0EzBDj6jfRaxVFRKofaX6TrnEYfSdYMDos1rKQFVC8BQvQfIfYRKOn6NnO/unnamed5.jpg?width=650)
CHARLES HILLARY NKWANGA AAGA RASMI BBC, KURUDI AZAM TV
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Y9oQWy5Oo_8/default.jpg)