KAYIRA, IDD SEIF WAACHA KAZI BBC
![](http://api.ning.com:80/files/F-9RLDKjng9FHRA9Hml7xfzJ0dzR3erG8EaQCkk1Eh5e3sHpa21wGLM63obbYxY0IR8dOoGACmowt47PutdZ7s*o7hlO5ppH/maxresdefault.jpg?width=650)
        Aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji wa Uingereza BBC, Kassim Kayira. Aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji wa Uingereza BBC, Idd Seif. Kassim Kayira na Idd Seif wakiwa katika studio ya BBC.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Kassim Kayira: Kutoka mkimbizi, baba n’tilie, BBC hadi Azam TV
Kassim Kayira.
Kassim Kayira, mtu ambaye hakuwahi kuwaza kama angeweza kuwa mtu tajiri na maarufu kama alivyo, kupitia uandishi wa habari na utangazaji, amepambana kujiweka mahali pazuri na sasa anapata kila kitu alichokosa utotoni na anasimulia maisha yake.
Wiki iliyopita, aliishia pale alipoacha kazi baada ya kuona mazingira siyo mazuri, kwamba aliundiwa zengwe baada ya kuanika ufisadi mkubwa uliofanywa na viongozi katika serikali ya Kagame, ikihusisha ununuzi wa magari ya...
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8
MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema.
Kassim Kayira ni mmoja wa watu waliobadili maisha yao kwa kupambana. Safari yake ya kuyafikia maisha anayoishi kwa sasa, ilikuwa ngumu lakini kwa sababu ya uvumilivu, leo anaishi maisha mazuri. Anapata kila kitu, anafurahia utajiri na umaarufu mkubwa.
Wiki iliyopita, aliishia kusimulia jinsi alivyoamua kuacha kazi katika shirika la utangazaji nchini Rwanda, baada ya kuhamishwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pmp4aAFlmBUU3Bw1i*3OY9RBDV9muHtVY5cPb60t13ptQAQDU9jAvH**hGi-WvkSSw7d*OfJt0wHj1Iknvzo4o/baloziseifidd.jpg?width=650)
BALOZI SEIF IDD AZINDUA MAONYESHO YA SABASABA DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s72-c/229.jpg)
Balozi Seif Idd azungumza na Viongozi wa Mkoa wa Magharibi, Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EcoBe2dBmhE/VSLoV0J2qMI/AAAAAAAHPbs/E03AQkmKUjU/s1600/229.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vqNZRuSiv9k/VSLoZGtDPEI/AAAAAAAHPcA/yqfcD8mILpM/s1600/234.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sutd8dFv_5k/VSLoV6Fr79I/AAAAAAAHPbw/fynYB7GnjKY/s1600/222.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9pUwDvuXLIo/U8vFYX6DDgI/AAAAAAAF4EI/zDD0NX3C4KM/s72-c/540.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKUTANA NA WANA CCM WA NUNGWI
Alisema Wanasiasa wasifikirie kwamba anapokwenda majimboni hasa katika maeneo yanayoongozwa na Upinzani wakadhani ya kuwa anakwenda kuvuruga siasa za vyama vyengine vya upinzani.
Balozi Seif alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini Jamhuri...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xt6Fbq0kJ6o/U_79DseBnvI/AAAAAAAGJ8Y/kG-i0b4YYL0/s72-c/883.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Tigo
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mama Balozi Seif Idd na Khadija Kopa kupamba Miss Singida 2014
Muandaaji wa shindano la Miss Singida 2014 Anti Bora Lemmy, akizungumza na wadhamnini mbalimbali mkoani singida wakati akiwatambulisha Mamiss kwa waandishi wa habari.
Na Hillary Shoo, Singida.
MKE wa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mama Assi Balozi seif Idd anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka Miss Redds Singida 2014.
Akizungumza na waandisi wa habari muandaaji wa shindano hilo mkoani Singida, Bora Lemmy alisema mbali na mama Assi , pia...