Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif, Balozi Idd wachimbana

MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na Makamu wa Kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad, wameingia katika vita ya maneno kuhusu rasimu ya katiba, masuala ya Muungano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Maalim awataka Dk Shein, Balozi Idd wadhibiti vurugu

Mgombea urais wa CUF, Zanzibar chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif amesema amewataka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ally Idd kuhakikisha wanadhibiti vurugu zinazoweza kutokea katika uchaguzi mkuu ujao la sivyo watapelekwa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Seif amponda Maalim Seif

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Seif Idd ametangaza vita kwa mtu yeyote anayepanga njama za kuvuruga mchakato wa Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

11 years ago

GPL

BALOZI SEIF IDD AZINDUA MAONYESHO YA SABASABA DAR

MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi amezindua rasmi maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Dar mchana huu. Maonyesho ya mwaka huu yaliyoanza Juni 28, 2014 yanashirikisha waonyeshaji bidhaa zaidi ya 1,200 kati yake Wizara, Idara na wakala za serikali zaidi ya 60 na makampuni zaidi ya 400 ya kimataifa. Mataifa 31 yanashiriki maonyesho ya mwaka huu...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDD AKUTANA NA WANA CCM WA NUNGWI

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amewathibitishia Wana CCM, Wananchi na Jamii kwamba ataendelea kufuatilia matatizo na changa moto zinazowakabili wananchi popote pale akiwa kama mtendaji Mkuu wa Serikali.
Alisema Wanasiasa wasifikirie kwamba anapokwenda majimboni hasa katika maeneo yanayoongozwa na Upinzani wakadhani ya kuwa anakwenda kuvuruga siasa za vyama vyengine vya upinzani.
Balozi Seif alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Idd azungumza na Viongozi wa Mkoa wa Magharibi, Zanzibar

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akizungumza katika mkutano wa ujirani mwema kati ya Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeka na Wilaya ya Dimani hapo Tawi la CCM Kwerekwe B.Mkuu wa Msafara wa Ujumbe wa Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es salaam Nd.Said Kabuma akitoa shukrani kwa mapokezi mazuri waliyopewa na wenyeji wao Wilaya ya Dimani wakati wa kuagana baada ya kumaliza ziara yao ya ujirani mwema Zanzibar.Baadhi ya Viongozi na wanachama wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF IDD APOKEA MSAADA WA KOMPYUTA KUTOKA KAMPUNI YA ZTE

Ofisa wa Tawi la Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE hapa Zanzibar yenye Makao Makuu yake Nchini  Jamhuri ya Watu wa China Bibi Coco Wang akimpatia maelezo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kabla ya kumkabidhi msaada wa Kompyuta 10 kwa ajili ya wanafunzi wa Skuli zilizomo ndani ya Jimbo lake.
.................................................
Kampuni ya Kimataifa ya Mtandao wa Mawasiliano ya Kisasa ya ZTE yenye Makao Makuu yake Nchini  Jamhuri...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Tigo

Kampuni ya Mitandao ya simu za Mkononi ya Tigo imejitolea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwenye sekta ya uwekezaji katika masuala ya mitandao ya mawasiliano sambamba na kusaidia huduma za Kijamii kwa wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...

 

5 years ago

Michuzi

MAKAMU WA PILI WA RAIS BALOZI SEIF ALI IDD AONYA WATOA RUSHWA

Na Mwandishi wetu Shinyanga
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Barozi Seif Ali Idd amewaonya baadhi ya wanachama wa chama cha Mapinduzi wanaotaka kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho kujiepusha na matumizi ya fedha katika kutafuta nafasi za uongozi kwani kufanya hivyo ni kukiuka katiba ya Chama hicho.
Aidha Barozi Seif Ali Idd ameonya kuwa kuna baadhi ya watu wenye nia ya kugombea uongozi lakini badala ya kwenda wenyewe wanatuma watu wengine kutoa rushwa kwa niaba...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF IDD ATIMIZA AHADI YAKE KWA CCM MKOA WA SINGIDA

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mipira kwa ajili ya Gari ya Chama ya Mkoa wa Singia Katibu wa CCM wa Mkoa huo Bibi Merry Chatanda akitekeleza ahadi aliyotowa wakati wa ziara yake Mkoani humo miezi michache iliyopita. Kulia ya Balozi Seif ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi na Mbunge wa Mkoa wa Singida Viti Maalum Mh. Anna Chilolo, hafla iliyofanyika nyumbani kwa Balozi Seif Mtaa wa Farahani Mjini Dodoma. Balozi Seif akiuhakikishia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani