CUF walia na kasoro Mchakato wa Katiba
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema busara inahitajika kuiepusha nchi kuingia katika mgogoro wa kisiasa kutokana na hali halisi iliyojitokeza katika suala la kutafuta Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Agenda ya CUF mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
11 years ago
Mwananchi24 Feb
‘Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ina kasoro’
11 years ago
Habarileo04 Mar
Kituo cha Sheria chataja kasoro Rasimu ya Katiba
RASIMU ya Pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kukosa mambo matano muhimu kwa wananchi, ambayo ni ya haki za msingi kwa ajili ya ustawi wa watu. Mambo hayo yametajwa katika kipeperushi kilichoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa ajili ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi.
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Masheikh walia na Katiba Mpya
![Waumini wa Kiislamu wakiswali](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Waislamu.jpg)
Waumini wa Kiislamu wakiswali
Na Waandishi Wetu, Dar na mikoani
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo wiki chache zilizopita lilileta mgogoro ndani ya Bunge Maalumu la Katiba hadi kufikia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kulitolea ufafanuzi, limeibuka tena katika swala ya Eid El-Hajj nchini.
Hatua hiyo imewafanya masheikh mbalimbali nchini kusema katu hawako tayari kuitambua Rasimu ya Katiba inayopendekezwa hadi pale suala la Mahakama ya Kadhi litakapotambuliwa.
Wamesema kitendo cha Bunge Maalumu la...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ