Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume kutafiti kasoro sheria za walaji

TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania

Mwenyekiti wa Tume mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkaribisha Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Uganda Bi. Vastina Nsanze na ujumbe wake. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Aloysius Mujulizi akiwa na ujumbe wa Tume ya Kurekebisha Sheria ya Uganda ofisini kwake. Ujumbe wa Tume ukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Aloysius Mujulizi ukiwa katika mkutano na wenzao wa Uganda unaoongozwa na Bi. Vastina Nsanze. Ujumbe wa Tume ukiwa katika picha ya pamoja na wenzao wa Uganda (Picha zote na Munir Shemweta LRCT)

 

11 years ago

Mwananchi

‘Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ina kasoro’

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amebaini kuwapo kwa kasoro katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.

 

11 years ago

Habarileo

Kituo cha Sheria chataja kasoro Rasimu ya Katiba

RASIMU ya Pili ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetajwa kukosa mambo matano muhimu kwa wananchi, ambayo ni ya haki za msingi kwa ajili ya ustawi wa watu. Mambo hayo yametajwa katika kipeperushi kilichoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa ajili ya kusambaza uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Tume yatafiti mfumo wa sheria unaomlinda mlaji

TUME ya Kurekebisha Sheria Tanzania imeanza kufanya utafiti wa mfumo wa sheria, unaosimamia Haki za Walaji ili kubaini kasoro mbalimbali zilizoko kwenye mfumo husika na kupendekeza njia sahihi ya kuboresha mfumo huo nchini.

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAWAAGA WASTAAFU WAKE

 Wastaafu wakiwa na wenza wao wakati wa kuaagwa baada ya kukamilisha umri wa kustaafu kazi. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkabidhi zawadi aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume Bi. Regina Gatama wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akiwaonesha wastaafu zawadi zao walizokabidhiwa. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA

Naibu Katibu wa Tume ya Utumishi wa  Umma akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza taarifa ya tume hiyo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu aishukia Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Jaji Mkuu Mohamed Othman Chande ameitaka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania kuharakisha mchakato wake wa kuandaa ripoti inayohusu migogoro ya ardhi nchini ili kutoa nafasi ya kufanyiwa marekebisho Sheria ya Ardhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani