Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tume yatafiti mfumo wa sheria unaomlinda mlaji

TUME ya Kurekebisha Sheria Tanzania imeanza kufanya utafiti wa mfumo wa sheria, unaosimamia Haki za Walaji ili kubaini kasoro mbalimbali zilizoko kwenye mfumo husika na kupendekeza njia sahihi ya kuboresha mfumo huo nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania

Mwenyekiti wa Tume mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkaribisha Kaimu Mwenyekiti wa Tume ya Uganda Bi. Vastina Nsanze na ujumbe wake. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Aloysius Mujulizi akiwa na ujumbe wa Tume ya Kurekebisha Sheria ya Uganda ofisini kwake. Ujumbe wa Tume ukiongozwa na mwenyekiti Mhe. Aloysius Mujulizi ukiwa katika mkutano na wenzao wa Uganda unaoongozwa na Bi. Vastina Nsanze. Ujumbe wa Tume ukiwa katika picha ya pamoja na wenzao wa Uganda (Picha zote na Munir Shemweta LRCT)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tume kutafiti kasoro sheria za walaji

TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...

 

10 years ago

Michuzi

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAWAAGA WASTAAFU WAKE

 Wastaafu wakiwa na wenza wao wakati wa kuaagwa baada ya kukamilisha umri wa kustaafu kazi. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkabidhi zawadi aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume Bi. Regina Gatama wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu. Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akiwaonesha wastaafu zawadi zao walizokabidhiwa. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MFUMO MPYA WA (BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la kuwashirikisha waandishi wa habari ni kutokana na...

 

10 years ago

GPL

TUME YA UTUMISHI YATOA TATHMINI YA SHERIA, KANUNI NA AJIRA

Naibu Katibu wa Tume ya Utumishi wa  Umma akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza taarifa ya tume hiyo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu aishukia Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Jaji Mkuu Mohamed Othman Chande ameitaka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania kuharakisha mchakato wake wa kuandaa ripoti inayohusu migogoro ya ardhi nchini ili kutoa nafasi ya kufanyiwa marekebisho Sheria ya Ardhi.

 

10 years ago

StarTV

LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam,

 

 

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.

 

Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani