TUME YA KUREKEBISHA SHERIA YAWAAGA WASTAAFU WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-qM8-GHs4BRU/VBZu5M1WkRI/AAAAAAAGjp8/mHQV9ye3I8c/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Wastaafu wakiwa na wenza wao wakati wa kuaagwa baada ya kukamilisha umri wa kustaafu kazi.
Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akimkabidhi zawadi aliyekuwa Mhasibu Mkuu wa Tume Bi. Regina Gatama wakati wa hafla ya kuwaaga wastaafu.
Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akiwaonesha wastaafu zawadi zao walizokabidhiwa. Picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Tume ya Kurekebisha Sheria nchini Uganda Yaitembelea Tume ya Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/--3awY8ZqKUc/VO6-Uz1IWoI/AAAAAAAHF80/x_HRY7IttsM/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vBtIoorCLxE/VO6-VJhwocI/AAAAAAAHF9A/xjtcrCdZLHo/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o2NNFZiMoVM/VO6-VFnRcMI/AAAAAAAHF84/BSNvLOJSp_I/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7xza7kFviR0/VO6-W85VazI/AAAAAAAHF9M/xxa8O265ywo/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Jaji Mkuu aishukia Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uA9SOzM9aZ4/U23Rwr4r0aI/AAAAAAAFgoU/BuMcjbbtd8c/s72-c/unnamed+(50).jpg)
DK MIGIRO AZINDUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-uA9SOzM9aZ4/U23Rwr4r0aI/AAAAAAAFgoU/BuMcjbbtd8c/s1600/unnamed+(50).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jvTvR7HE9Fk/U23Rwghkk1I/AAAAAAAFgoc/wKPtQCgbKRM/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Edj0ucTeH8I/U23Rwoy3ApI/AAAAAAAFgoY/cAKuf2HxdfA/s1600/unnamed+(52).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLqG91Cwg8/VfivcIpGJTI/AAAAAAAH5KU/neVAGQCUJ_4/s72-c/aaz.png)
JK amteua Casmir Kyuki kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLqG91Cwg8/VfivcIpGJTI/AAAAAAAH5KU/neVAGQCUJ_4/s640/aaz.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Casmir Kyuki kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria.
Kabla ya uteuzi huu, ndugu Kyuki alikuwa Mwandishi Kufuatia uteuzi huu, Rais amemteua Bibi Sarah Barahomoka kuwa Mwandishi Mkuu wa Sheria, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na ndugu Kyuki.Kabla ya uteuzi huu, Bibi Barahomoka alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya uandishi wa Sheria. Uteuzi huu unaanza mara moja.
Wateule hawa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yi2oyvvl3WYO7TC8wRcSc5IhfNXF7SOz0sl1GK*p5JPefXBDS022rPC8QrWTb338xK*CRUortg5g16YjbUcW3BD/oyaaaaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
DK MIGIRO AZINDUA BARAZA JIPYA LA WAFANYAKAZI TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3UCJ3qGsonM/VfpaWJrtPtI/AAAAAAAH5dk/NdAOqCnOCeo/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Katibu Mtendaji wa Tume Ya Kurekebisha Sheria Bw. Casmir Kyuki alipoapishwa na kuripoti kazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-3UCJ3qGsonM/VfpaWJrtPtI/AAAAAAAH5dk/NdAOqCnOCeo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z0sBOSKe2zs/VfpaYbYiuAI/AAAAAAAH5ds/dzFfuUmrWtE/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l778gOFzIeY/VfpaaQ2P3NI/AAAAAAAH5d0/VQMyPtsHQEg/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAFANYA KIKAO CHAKE CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI DAR ES SALAAM
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo14 Jun
SMZ kurekebisha sheria zilizopitwa na wakati
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanza mchakato wa kuzipitia sheria zote zinazoonekana kupitwa na wakati ambazo zimekuwa zikiwadhalilisha wanawake na watoto.