Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama Yanga wapinga mabadiliko ya katiba

WANACHAMA wa Yanga wameibuka na kupinga uongozi wao kufanya mabadiliko ya katiba bila kuwashirikisha. Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya wanachama wenzake, Ally Kamtande, alisema suala la kubadilisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA YAFANYA MABADILIKO YA KATIBA YAO

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga SC, Yusuf Manji akiwasili eneo la mkutano katika Ukumbi wa Police Officer's Mess, Oysterbay jijini Dar. Manji akihojiwa na wanahabari.…

 

10 years ago

Michuzi

ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi nchini peru

 Kushoto Waziri mh. Fatma  Fereji kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Kulia Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais mazingira mh.dkt Binilith Mahenge wakifuatilia hotuba ya katibu mkuu wa umoja wa Mataifa Bw Ban ki Moon hayupo pichani katika ufunguzi wa mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi ulihusisha viongozi wa juu marais na mawaziri..(High level segment) mjini Lima, Peru. Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TFF kuhakiki katiba za wanachama

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajiwa kuendesha zoezi la ukaguzi wa katiba za wanachama wake ili kuhakikisha hazipingani na za Shirikisho la Kimataifa (Fifa), CAF na TFF. Kwa mujibu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

WANACHAMA: ‘Manji na wewe uondoke Yanga’

Wakati uongozi wa Yanga ukiwa katika hatua za mwisho za kuvunja mkataba wake na Mbrazil Marcio Maximo, baadhi ya wanachama wa klabu hiyo wamemtaka Mwenyekiti, Yusuf Manji kuachia ngazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama Yanga wavamia kwa Mosha

BAADA ya mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC kupeleka kilio Jangwani kwa kuwanasa wachezaji wawili wa Yanga, wanachama wa klabu hiyo wamevamia nyumbani kwa aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti, Davis...

 

10 years ago

GPL

YANGA SC YAFUNGUA TAWI LA WANACHAMA KAHAMA

Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo akizindua tawi jipya la timu hiyo leo. (Picha na Yanga SC) UONGOZI wa Klabu ya Young Africans uliopo na timu mjini Kahama, leo umefungua tawi la wanachama lenye jumla ya wanachama mia tatu (300) na kuhudhuriwa na wapenzi, washabiki na wadau lukuki. Mkuu wa msafara, Mohamed Bhinda alimkaribisha kocha mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo kuzindua tawi hilo mara baada ya mazoezi ya asubuhi akiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani