Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TFF kuhakiki katiba za wanachama

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajiwa kuendesha zoezi la ukaguzi wa katiba za wanachama wake ili kuhakikisha hazipingani na za Shirikisho la Kimataifa (Fifa), CAF na TFF. Kwa mujibu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Msajili kuhakiki wanachama vyama vya siasa

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, inatarajia kufanya uhakiki wa wanachama wa vyama vyote vya siasa kupata takwimu sahihi ya idadi yao.

 

10 years ago

Michuzi

TFF yaiagiza Klabu ya Coastal Union kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama

KUFUATIA vikao vya maridhiano ya Uhakiki wa wanachama wa Klabu ya Coastal Union ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la soka nchini (TFF) Ahmed Iddi Mgoyi.
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ameiandikia barua Klabu ya Coastal Union akiiagiza klabu hiyo kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama tarehe 17 Mei mwaka 2015.
Matokeo ya maamuzi haya yamepatikana baada ya kikao cha usuluhishi cha amani kilichoongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Ahmed Iddi Mgoi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachama Yanga wapinga mabadiliko ya katiba

WANACHAMA wa Yanga wameibuka na kupinga uongozi wao kufanya mabadiliko ya katiba bila kuwashirikisha. Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya wanachama wenzake, Ally Kamtande, alisema suala la kubadilisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wawasilisha katiba TFF

BAADA ya wanachama wa Yanga kupitisha mabadiliko kwenye katiba yao Juni Mosi, uongozi wao umeyawasilisha rasmi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ili iweze kupitiwa na kwenda kwa msajili. Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yaitupa jalalani Katiba Yanga

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitupa Katiba ya Yanga iliyopelekwa kwa shirikisho hilo kwa ajili ya kupitiwa kabla ya kusajiliwa na kutoa nafasi kwa klabu hiyo kufanya uchaguzi mkuu Juni.

 

9 years ago

Michuzi

TFF YABAINISHA KATIBA NA KANUNI ZA LIGI KUU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

Baraka Kizuguto - Msemaji wa TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limebaini kuwepo kwa vitendo vyaa wanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania kujihusisha na masuala ya Siasa wakiwa katika mavazi rasmi ya mpira ambayo yana nembo za vilabu na wadhamini wa Ligi.Katiba ya TFF ibara ya I (4) inatamka “TFF is neutral in matters of politics and religion. Discrimination of any kind against a country, private person or group of people on account race, skin colour, ethnic, national or social...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani