TFF yatangaza ukaguzi wa katiba za wanachama wake
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
TFF kuhakiki katiba za wanachama
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), linatarajiwa kuendesha zoezi la ukaguzi wa katiba za wanachama wake ili kuhakikisha hazipingani na za Shirikisho la Kimataifa (Fifa), CAF na TFF. Kwa mujibu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xFviPfKocTA/XnC2sQL1wmI/AAAAAAALkEU/DNCo729yv0komTIL5A09xl5Op4GdtUCsQCLcBGAsYHQ/s72-c/7e12aba7-92de-4877-a434-63e567aeb1d3.jpg)
CCM YATANGAZA KUSITISHA MIKUTANO YA NDANI NA HADHARA KUWAEPUSHA WANACHAMA WAKE, WANANCHI KUPATA MAAMBUKIZI YA ORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetangaza kusitisha mikutano yake ya ndani na hadhara kwa lengo la kuwaepusha wanachama wake na Watanzania kwa ujumla kupata maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza leo Machi 17 mwaka 2020,Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema Corona ni janga la kidunia na Chama hicho...
9 years ago
Habarileo19 Aug
TFF yatangaza orodha ya waamuzi wa semina
KAMATI ya waamuzi imetangaza orodha ya waamuzi watakaoshiriki kwenye semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza Agosti 21- 25, 2015 jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPLTFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA
10 years ago
MichuziTFF YATANGAZA RASMI RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s72-c/coastal.jpg)
TFF yaiagiza Klabu ya Coastal Union kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama
![](http://2.bp.blogspot.com/-wycmbTx22Yk/VUm_yGFezhI/AAAAAAAHVsQ/lN2fyQvsOv0/s1600/coastal.jpg)
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine ameiandikia barua Klabu ya Coastal Union akiiagiza klabu hiyo kuitisha mkutano mkuu wa dharura wa wanachama tarehe 17 Mei mwaka 2015.
Matokeo ya maamuzi haya yamepatikana baada ya kikao cha usuluhishi cha amani kilichoongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Ahmed Iddi Mgoi...