CCM YATANGAZA KUSITISHA MIKUTANO YA NDANI NA HADHARA KUWAEPUSHA WANACHAMA WAKE, WANANCHI KUPATA MAAMBUKIZI YA ORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xFviPfKocTA/XnC2sQL1wmI/AAAAAAALkEU/DNCo729yv0komTIL5A09xl5Op4GdtUCsQCLcBGAsYHQ/s72-c/7e12aba7-92de-4877-a434-63e567aeb1d3.jpg)
*Polepole ampa ushauri Mbowe...asema kwenye hili la Corona tuache mzaha kwani madhara yake ni makubwa
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetangaza kusitisha mikutano yake ya ndani na hadhara kwa lengo la kuwaepusha wanachama wake na Watanzania kwa ujumla kupata maambukizi ya virusi vya Corona.
Akizungumza leo Machi 17 mwaka 2020,Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema Corona ni janga la kidunia na Chama hicho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
CCM ilifufuka kwa mikutano ya hadhara inayokatwaza na serikali yake sasa!
JAMBO moja nililolisikia likirudiwa katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wiki iliyopi
Njonjo Mfaume
11 years ago
Dewji Blog26 May
Kinana akagua Ujenzi Daraja la Sibiti linalounganisha Singida na Simiyu na kuhutubia mamia ya Wananchi katika Mikutano ya hadhara Iramba
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa orodha ya vijiji vitakavyopata huduma ya umeme katika wilaya ya Mkalama, alipohutubia mkutano wa hadharakwenye kijiji cha Nkungi, Wilaya humo, Mei 24, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadsiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana...
11 years ago
Michuzi11 Feb
5 years ago
MichuziTUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY
11 years ago
Mwananchi13 Jun
‘Mikutano ya hadhara haijaruhusiwa’
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iwiV3aMoXmE/VH8wJ6kkoBI/AAAAAAAG1AE/rsUv4G4OU9I/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA - Zanzibar aendelea na mikutano ya hadhara Mkoani Rukwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-iwiV3aMoXmE/VH8wJ6kkoBI/AAAAAAAG1AE/rsUv4G4OU9I/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u-Kh_SCtE0A/VH8wJ06kxZI/AAAAAAAG0_8/QidPmY-Cisw/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-NLCW3VOXZOM/Vn1ouIecs9I/AAAAAAAAXg8/vo_-s6kqVKY/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU MIKUTANO YA HADHARA