Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM ilifufuka kwa mikutano ya hadhara inayokatwaza na serikali yake sasa!

JAMBO moja nililolisikia likirudiwa katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wiki iliyopi

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

CCM YATANGAZA KUSITISHA MIKUTANO YA NDANI NA HADHARA KUWAEPUSHA WANACHAMA WAKE, WANANCHI KUPATA MAAMBUKIZI YA ORONA

*Polepole ampa ushauri Mbowe...asema kwenye hili la Corona tuache mzaha kwani madhara yake ni makubwa 

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii


CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetangaza kusitisha mikutano yake ya ndani na hadhara kwa lengo la kuwaepusha wanachama wake na Watanzania kwa ujumla kupata maambukizi ya virusi vya Corona.

Akizungumza leo Machi 17 mwaka 2020,Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema Corona ni janga la kidunia na Chama hicho...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU MIKUTANO YA HADHARA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KAULI YA WAZIRI MKUU MIKUTANO YA HADHARA Tumeona kupitia vyombo vya habari na njia mbalimbali za upashanaji taarifa kwamba Waziri Mkuu Majaliwa Kassim amenukuliwa akitoa kauli inayoonesha Serikali ya CCM inataka kuzuia shughuli za kisiasa hususan mikutano ya hadhara.Kupitia kauli hiyo, Waziri Mkuu amenukuliwa zaidi akisema kuwa Uchaguzi umekwisha hivyo

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mikutano ya hadhara haijaruhusiwa’

>Serikali imeendeleza kigugumizi cha kutoruhusu mikutano ya hadhara katika mikoa ya Lindi na Mtwara hadi hapo itakapotangazwa.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Stendi Kuu ya Zamani mjini Tabora, baada ya kumaliza ziara yake ya siku 11 katika mkoa huo, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata  Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi Wakazi wa Mji wa Tabora Mjini  wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA - Zanzibar aendelea na mikutano ya hadhara Mkoani Rukwa

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Kisumba, Jimbo la Kalambo, mkoani Rukwa, katika mfululizo wa mikutano ya ziara ya Operesheni Delete CCM katika vijiji vya mkoa huo (Ijumaa 28/11/2014). Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu akikumbatiana na mzee ambaye alikuwa mmoja wa wasikilizaji kwenye mkutano wa Operesheni Delete CCM uliofanyika katika Kijiji cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana akagua Ujenzi Daraja la Sibiti linalounganisha Singida na Simiyu na kuhutubia mamia ya Wananchi katika Mikutano ya hadhara Iramba

1. Kinana akihutubia katika kijiji cha Nkungi, Wilaya ya Mkalama

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman  Kinana akitoa orodha ya vijiji vitakavyopata huduma ya umeme katika wilaya ya Mkalama, alipohutubia mkutano wa hadharakwenye  kijiji cha Nkungi, Wilaya humo,  Mei 24, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi na kujadsiliana nao njia za kuzitatua katika wilaya ya Iramba mkoani Singida.

1. Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parceko Kone (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Kinana (kulia) maendeleo ya daraja la Mto Sibiti, Unaounganisha Singida na Simiyu,

Mkuu wa mkoa wa Singida Dk. Parseko Kone (aliyenyoosha mkono) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana...

 

10 years ago

Michuzi

ZSTC LAENDELEZA MIKUTANO YAKE KWA WAKULIMA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar Wakulima wa zao la Karafuu wametakiwa kuacha tabia ya kuchukua Miche mingi ya Zao hilo ambayo wanashindwa kuishughulikia ipasavyo, kwani kwa kufanya hivyo ni kurudisha Juhudi zinazofanywa na Serikali katika kuliimarisha zao hilo kwani Miche hiyo inagharimu kiasi kikubwa cha Pesa za kuitunza.  Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Mwanahija Almas alipokuwa akizungumza na Wakulima wa Zao la Karafuu wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali imefanikiwa kuboresha utendaji kazi wa utumishi wa umma kwa kuendesha mikutano kupitia njia ya video (TEHAMA)

IMG_4283

Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma HAB Mkwizu wa kwanza kushoto mstari wa mbele akiongoza kikao kazi  kupitia njia ya video kwa makatibu tawala wa mikoa na wasaidizi wao, wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na wakuu wa idara za utawala na rasilimali watu katika mamlaka za serikali za mitaa  kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kagera, Tanga,Tabora,Manyara, Morogoro, Rukwa na Katavi kilichofanyika jana kwenye ukumbi wa Wakala wa Mafunzo kwa Mtandao iliyopo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani