Tambwe aongeza majeruhi Yanga
WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKf2ULbTEhEJ2aiy24Tq-XxjDylK8KfXUE5usyFwoyW2abAGsPTfF0*Q8eUEP14xgXvMldTD7KYx*oojuzLywTp/IMG20120805WA002.jpg)
TWITE AONGEZA MKATABA YANGA
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Majeruhi waitesa Yanga
NA OSCAR ASSENGA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.
Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.
Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Majeruhi waibomoa Yanga
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Majeruhi Yanga kama Arsenal
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Tambwe 4, Yanga 8, Julio bure
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Tambwe aanza mavitu Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Yanga, Mrundi Amis Tambwe, jana alianza kujifua na kikosi hicho huku akionekana kuanza kwa kasi baada ya kuinogesha sehemu ya ushambuliaji ya timu hiyo mazoezini.
Tambwe alifanya uamuzi wa kushtukiza Jumatatu iliyopita baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja Yanga, kufuatia kusitishiwa mkataba wake na viongozi wa Simba.
Katika mazoezi hayo ya Yanga yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Tambwe...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Tambwe awapa raha Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROZE3OFD*ikU-*qhJXVZqCErgJnTWTlaH-ThDz4mG1*Jk-sjSUSFukF3mvAHg6*ppq*1Cp1NGZPwPNIYACOKLdq/gfhgfgh.gif?width=650)
Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru