Majeruhi waibomoa Yanga
Zikiwa zimesalia saa 48 kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii, jahazi la Yanga limeanza kuyumba kutokana na kuongezeka kwa majeruhi katika kikosi chake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Majeruhi waitesa Yanga
NA OSCAR ASSENGA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.
Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.
Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Majeruhi Yanga kama Arsenal
9 years ago
Habarileo04 Dec
Tambwe aongeza majeruhi Yanga
WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd6617LVsaHyC8jOo16aIhfmMRYtxBvPiCc9tVNgl2L3VDoxPabN0BlLsMnb-KCs2cic1HdK39-psWyQ1P6Zc2XHbh/MUVI.jpg?width=650)
URAIS 2015 WAIBOMOA BONGO MUVI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOaUJ7iOWFwbZcJwO8wouXYIpfyowIZUHZl8CaNk3Hn6aaoI-AnadJTblJxlYF9gqOjdPWEEvRCkHBlHBH*Cfmn8/domayo.gif?width=650)
Majanga Domayo majeruhi!
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Huduma kwa majeruhi Burundi
11 years ago
Habarileo10 Jul
Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa
MAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia