Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeruhi waibomoa Yanga

Zikiwa zimesalia saa 48 kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii, jahazi la Yanga limeanza kuyumba kutokana na kuongezeka kwa majeruhi katika kikosi chake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Majeruhi waitesa Yanga

755252_heroaNA OSCAR ASSENGA

 

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.

 

Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.

 

Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Majeruhi Yanga kama Arsenal

Yanga kama Arsenal hivi sasa, ndivyo unavyoweza kusema kwa jinsi ilivyo na rundo la wachezaji majeruhi, jambo  linalompa hofu kocha wake, Hans Pluijm.

 

9 years ago

Habarileo

Tambwe aongeza majeruhi Yanga

WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia

 

10 years ago

GPL

URAIS 2015 WAIBOMOA BONGO MUVI

Stori: Shakoor Jongo
KUMEKUCHA! Baada ya kuwepo kwa misuguano ya chini kwa chini kati ya viongozi na wanachama wa kundi la waigizaji wa filamu la Bongo Movie Unity, sasa siri imefichuka kuwa baadhi ya watu wanaotajwa kuwania kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) ili wagombee urais mwakani, ndiyo wanaolibomoa kundi hilo kutokana na fedha wanazodaiwa kuzitoa. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve...

 

11 years ago

GPL

Majanga Domayo majeruhi!

Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga. Na  Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya kujulikana kuwa Frank Domayo amesajiliwa rasmi na Azam FC akitokea Yanga, imebainika kuwa kiungo huyo mkabaji ni majeruhi na kama akitoneshwa anaweza kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu. Domayo ambaye kwa sasa yupo na Taifa Stars jijini Mbeya, amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya paja kwa muda mrefu na ikitokea akatoneshwa au...

 

11 years ago

BBCSwahili

Huduma kwa majeruhi Burundi

Majeruhi zaidi ya 150 wanapokea huduma katika hospitali mbalimbali mjini Bujumbura kutokana na mvua iliyosababisha mafuriko na vifo

 

11 years ago

Habarileo

Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah MwambeneMAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia

Wakati mtu mmoja kati ya majeruhi walioungua moto juzi kutokana na mlipuko wa lori la petroli akifariki dunia na kufanya waliopoteza maisha kufikia watano, majeruhi wawili jana wamesimulia jinsi mkasa huo ulivyowakuta.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani