Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeruhi Yanga kama Arsenal

Yanga kama Arsenal hivi sasa, ndivyo unavyoweza kusema kwa jinsi ilivyo na rundo la wachezaji majeruhi, jambo  linalompa hofu kocha wake, Hans Pluijm.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Majeruhi waitesa Yanga

755252_heroaNA OSCAR ASSENGA

 

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.

 

Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.

 

Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Majeruhi waibomoa Yanga

Zikiwa zimesalia saa 48 kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii, jahazi la Yanga limeanza kuyumba kutokana na kuongezeka kwa majeruhi katika kikosi chake.

 

9 years ago

Habarileo

Tambwe aongeza majeruhi Yanga

WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel

Mshambuliaji wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho huenda akawa sehemu ya mchezo kati ya klabu yake na Etoile du Sahel ya Tunisia

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA SIMBA, YANGA ZISINGEKUWEPO



By GIFT MACHAWAMWANASPOTITimu hizi zimekuwa ndiyo kila kitu kwenye soka la Tanzania. Simba na Yanga ndiyo timu zenye mastaa wengi zaidi nchini. Ni timu zinazofanya usajili wa fedha nyingi zaidi nchini ukichana na Azam inayomilikiwa na mfanyabiashara Said Salim Bakhresa, hii ilianzishwa miaka saba iliyopita.
SIMBA na Yanga ndiyo wababe wa soka la Tanzania. Ndiyo timu zenye historia kubwa kwenye soka la Tanzania tangu kuanzishwa kwake zaidi ya miongo saba iliyopita.
Timu hizi zimekuwa ndiyo kila...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kama Yanga sakata la Okwi

Siku chache baada ya watani zao Yanga kutaka ripoti ya mwamuzi ionyeshwe hadharani, uongozi wa  Simba nao umefuata nyao hizo kwa kutaka mwamuzi Kennedy Mapunda achukuliwe hatua kali za kinidhamu.

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA NAO KAMA YANGA HUKO UWANJA WA AMANI


Simba sasa imeamka kwenye Kombe la Mapinduzi baada ya kufanikiwa kutinga nusu fainai ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichabanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0.

Simba imeonyesha inaweza baada ya kuzitumia dakika 45 za kipindi cha pili kwa kuichapa Taifa mabao yote manne kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

Shujaa wa Simba leo ni Ibrahim Ajib aliyefunga mabao matatu, hat trick na kufanikiwa kuondoka na mpira wa zawadi wakati mkongwe Shabani Kisiga alimalizia bao la nne.

Simba ilitawala...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA NI WATAMU KAMA CHIKOROBO YAWAGEUZA JKT RUVU KUWA VICHENCHEDE

Kiungo mwenye kasi wa Yanga, Simon Happygod Msuva amefikisha mabao 11 baada ya kufunga mawili leo.Msuva amefunga bao lake la 11 katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Msuva alianza kufunga bao la katika dakika 34 kwa mkwaju wa penalti na kufanikiwa kumfikia mshambuliaji Didier Kavumbagu wa Azam FC. Lakini baadaye akafunga bao la tatu kwa Yanga leo na la pili kwake hivyo kufikisha mabao 11.Kavumbagu raia wa Burundi amekuwa akiongoza kwa ufungaji...

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA


KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)

Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani