Majeruhi Yanga kama Arsenal
Yanga kama Arsenal hivi sasa, ndivyo unavyoweza kusema kwa jinsi ilivyo na rundo la wachezaji majeruhi, jambo linalompa hofu kocha wake, Hans Pluijm.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Majeruhi waitesa Yanga
NA OSCAR ASSENGA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo itakuwa ugenini katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kukabiliana na wenyeji, Mgambo Shooting huku ikiwa na wachezaji majeruhi wanaowategemea.
Wachezaji ambao huenda wakakosekana katika mechi hiyo ni Donald Ngoma na Haruna Niyonzima.
Akizungumza jana mjini hapa, Meneja wa timu hiyo, Hafidhi Salehe, alisema kuwa Ngoma atashindwa kucheza mechi hiyo kutokana na kusumbuliwa na majeruhi aliyopata hivi karibuni wakati wa...
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Majeruhi waibomoa Yanga
9 years ago
Habarileo04 Dec
Tambwe aongeza majeruhi Yanga
WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Majeruhi Yanga kuikabili Etoile du Sahel
10 years ago
Vijimambo02 Jan
KAMA SIMBA, YANGA ZISINGEKUWEPO
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2575332/highRes/912266/-/maxw/600/-/13delfhz/-/pich+simba.jpg)
By GIFT MACHAWAMWANASPOTITimu hizi zimekuwa ndiyo kila kitu kwenye soka la Tanzania. Simba na Yanga ndiyo timu zenye mastaa wengi zaidi nchini. Ni timu zinazofanya usajili wa fedha nyingi zaidi nchini ukichana na Azam inayomilikiwa na mfanyabiashara Said Salim Bakhresa, hii ilianzishwa miaka saba iliyopita.
SIMBA na Yanga ndiyo wababe wa soka la Tanzania. Ndiyo timu zenye historia kubwa kwenye soka la Tanzania tangu kuanzishwa kwake zaidi ya miongo saba iliyopita.
Timu hizi zimekuwa ndiyo kila...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba kama Yanga sakata la Okwi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HiKWKqm5alA/VK2q1eKrufI/AAAAAAADVE4/62nbqSB4m3Y/s72-c/Simba-SC.png)
SIMBA NAO KAMA YANGA HUKO UWANJA WA AMANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HiKWKqm5alA/VK2q1eKrufI/AAAAAAADVE4/62nbqSB4m3Y/s1600/Simba-SC.png)
Simba sasa imeamka kwenye Kombe la Mapinduzi baada ya kufanikiwa kutinga nusu fainai ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichabanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0.
Simba imeonyesha inaweza baada ya kuzitumia dakika 45 za kipindi cha pili kwa kuichapa Taifa mabao yote manne kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Shujaa wa Simba leo ni Ibrahim Ajib aliyefunga mabao matatu, hat trick na kufanikiwa kuondoka na mpira wa zawadi wakati mkongwe Shabani Kisiga alimalizia bao la nne.
Simba ilitawala...
10 years ago
Vijimambo25 Mar
YANGA NI WATAMU KAMA CHIKOROBO YAWAGEUZA JKT RUVU KUWA VICHENCHEDE
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/yanga-jjjj.jpg)
10 years ago
VijimamboHIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA
KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)
Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...