YANGA NI WATAMU KAMA CHIKOROBO YAWAGEUZA JKT RUVU KUWA VICHENCHEDE
Kiungo mwenye kasi wa Yanga, Simon Happygod Msuva amefikisha mabao 11 baada ya kufunga mawili leo.Msuva amefunga bao lake la 11 katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Msuva alianza kufunga bao la katika dakika 34 kwa mkwaju wa penalti na kufanikiwa kumfikia mshambuliaji Didier Kavumbagu wa Azam FC. Lakini baadaye akafunga bao la tatu kwa Yanga leo na la pili kwake hivyo kufikisha mabao 11.Kavumbagu raia wa Burundi amekuwa akiongoza kwa ufungaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLYANGA WALIVYOIZIMA JKT RUVU JANA
9 years ago
TheCitizen19 Sep
SOCCER: JKT Ruvu out to stop Yanga’s juggernaut
10 years ago
MichuziYANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU, YAICHAPA 2-0
![](http://1.bp.blogspot.com/-yDVQeAsgMU4/VDFUZtlbE7I/AAAAAAABKW8/mQZpsZQbW5g/s1600/Picha%2Bya%2BPg.24%2BOktoba%2B6.jpg)
Hadi filimbi ya mwisho Yanga 2, JKT Ruvu.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
9 years ago
Mwananchi08 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : JKT Ruvu iache kuishi kama Mlima Kilimanjaro
11 years ago
GPLYANGA YAFANYA MAUAJI TAIFA: YAINYUKA JKT RUVU 5-1
11 years ago
Michuzi24 Feb
YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU
Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s72-c/kushangilia-4.jpg)
YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s1600/kushangilia-4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xkFGJoOK3J0/VRLhCTmN8II/AAAAAAABVn0/0RUPZejCmr4/s1600/msuva%2Btena.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9JiH1UMaR84/VRLhEoReeJI/AAAAAAABVoA/F55b0AYruvI/s1600/msuva.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...