HIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA
KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)
Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji kutogombea uenyekiti Yanga
10 years ago
CloudsFM29 Jun
Manji Atangaza Kuwa Atajiuzulu yanga iwapo Aliyosema Mengi yatakuwa ni Kweli
![](http://3.bp.blogspot.com/-UQlJVQnQnww/VZDv23hEWII/AAAAAAAAwm4/iMUXfRZK3Uc/s640/SAM_1702.jpg)
Manji amezungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga, jana na kueleza hayo huku akisisitiza kumtaka Mengi ajitokeze na wakutane kwa ajili ya kufanya mdahalo wa wazi ambao utadhibitisha kuhusiana na tuhuma hizo.
Alisema kuendelea...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Hiki ndicho kinachomstahili Warioba?
MWAKA 2012, Tume ya Rais ya Mabadiliko ya Katiba iliundwa chini ya uongozi wa Jaji mstaafu Joseph Warioba. Juni 4, 2013 rasimu ya kwanza ikatoka, na wananchi kupitia makundi mbalimbali...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Wanafunzi hiki ndicho mlichokifuata chuoni?
“AONYWAYE mara nyingi akishupaza shingo itavunjika.” Huu ni msemo wa Kiswahili ambao hutumika kwa maonyo katika jamii inayotuzunguka. Msemo huu ni mfupi sana kwa maneno, lakini ni mpana kwa maana...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Hiki ndicho chanzo cha Ukawa
SEHEMU ya misingi ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano, ya 1977, inasema: “Kwa kuwa sisi wananchi wa
Joseph Mihangwa