Manji Atangaza Kuwa Atajiuzulu yanga iwapo Aliyosema Mengi yatakuwa ni Kweli
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amesema atajiuzulu wadhifa wa uenyekiti iwapo itabainika kuwa kweli yeye ni fisadi, mwizi na muongo kama ambavyo Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amekuwa akisukuma mashambulizi dhidi yake.
Manji amezungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga, jana na kueleza hayo huku akisisitiza kumtaka Mengi ajitokeze na wakutane kwa ajili ya kufanya mdahalo wa wazi ambao utadhibitisha kuhusiana na tuhuma hizo.
Alisema kuendelea...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA
KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)
Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Ngeleja awatumia Zitto, Mengi, Manji kujitetea
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NWeK14oK28Y/VeCAA5jGTLI/AAAAAAAH0rg/PM1zThJFtvc/s640/_MG_8247.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpyAiIYtSqVCexT1r9Aw4KnFmQCQchvAY1EXZwYxf5HZaYeyOWqCE3ZT7SNFr9mCDqVNNkZRzwudiNqc4GhQgIU-/oneeeeee.jpg?width=650)
Manji ajitoa Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Manji aibuka Yanga
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuph Manji, ameibuka na kudai kuwa kutokuwepo kwake nchini ndiyo sababu ya kutokea kwa maneno ya hapa na pale, huku akiwafuta uanachama wanachama sita na tawi moja....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbafngrMljwmdvNKdpuO*F1aDPMx5Ml0fk9jOGKhQEAcegd77RGxLUujmr2G4NqzgHNiEBHZDEs7KCx*GgalwMxGb/manji.jpg?width=650)
Manji abaki kuiongoza Yanga
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Manji awatega wakorofi Yanga
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, ameamua kujibu mapigo dhidi ya wanachama wanaopinga maamuzi ya mkutano mkuu wa Juni 1, mwaka huu, akiwataka wajiorodheshe kujua idadi na uhai wao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pInvkPyr8KEzJU99dujvUkWkdkuMPm8-jUSYgNrAOOEyR1EUJoUomYrUn1NokaD-b8yKh-eKS12s0zCcdG9ZJd/manji.jpg?width=650)
Manji awastopisha Waghana Yanga SC