Huduma kwa majeruhi Burundi
Majeruhi zaidi ya 150 wanapokea huduma katika hospitali mbalimbali mjini Bujumbura kutokana na mvua iliyosababisha mafuriko na vifo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja
![IMG_5004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5004.jpg)
![IMG_4911](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_4911.jpg)
![IMG_5035](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_5035.jpg)
![picha 02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/picha-02.png)
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3u3td4YI5Ig-zucN5LYioOaOZRChI7vM*-mabJcsQU1nY3wmgsTLIFUccC*3SGsVXigLtGV-Ummnb5rhJON45kQEFp7x2a*T/MGANGAMKUUAKIPOKEAMSAADAWAWASANIIMUDAMFUPIBAADAYAKWENDAKUWAONAMAJERUHINAWATUWALIOPOTEZAMAISHANDANIYAHOSPITALIYAMUSOMA.jpg?width=6)
WASANII WA SERENGETI FIESTA WATOA MSAADA KWA MAJERUHI WA AJALI MUSOMA
11 years ago
CloudsFM09 Jul
MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI
Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.
Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-azZA5E--RyE/VlYkIeDiOwI/AAAAAAAIIaM/bove7Pc73jY/s72-c/40c8b8d5-8024-4fe4-8b75-13e973062579.jpg)
Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Rais Kikwete alipotoa pole kwa majeruhi waliokanyagana wakati wa mkutano wa kampeni za urais Morogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni wa CCM katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015. Watu wawili walipoteza maisha, akiwemo mvulana wa miaka 12 aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdallah na mwanamama Grace George (42), ambapo jumla ya watu 17...
10 years ago
Michuzi24 Aug
MH. MWIGULU NCHEMBA ASITISHA SAFARI YAKE KWA MUDA ILI KUOKOA MAJERUHI KATIKA AJALI YA GARI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zNSUlad0f0waWsFOdB5TagOux0BJktrAtUiOmPzXHqRjttpbGrgPhWPZkZbba6JozK24hxPqady5HnzWfmuv41b5tqNT-VHYA9pA9wVV0up5kqOjgAoMO7ZmVAzXjGiwgqaAhWFm7AHBsbNMXMlHeD2DqS0CvPIykuJiiN3aPH9Nm2yyhA2HcKY4l4qXd_gu-sjyVj1vp6nixnZsCTl9iexZEnkH4qnqiDUNRdr-bngLZ_ZcC_mGMnwhtExBxqwFqMbGH0Ku69WN-9QM0WyTBjtEUePcsQQt-JjqFUy1X0sGzlNamm95HKnfdbA=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/v/t1.0-9/10250342_280900248778877_347680025182044098_n.jpg?oh=23b9cfd01c14c4381d5172620916f2ab&oe=5461CCB1&__gda__=1417320399_db63509e4b817492a59ae81dafb1b89a)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8wf6dWeWJi36DjT6xNX2AmlfXJSHR4QrYj_gzNxSXKXTWi4qtb_6jaXOxJVlN5AkkENW0Qod7IkL0n69_UkMS2uThtbJnICdRQosdQVUp8VfK_JQRj2uWj3TqaohP1vrRJaD3oNN7ZOTUxwpyk2pokN8gF2wxjXn1_iX_sjK9Wvkot6cuXs8AkqsEooLDXYRN3l4LhOEimHC7Jnh53IDa1YEtpipT7tV1-kExDtuN0Y5QQg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10511125_280900188778883_2263182981070753717_n.jpg?oh=57f90863f692a4cb510ae6029f1dd0fa&oe=54811CFC)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uNb8WgcuWX6P5qXLdrmuoVxacJc6sl-R_x0_pJiVYvYs3hDcgBw2hfcCqfLs4JALif0oJxMkjSBQFKenYnvNwWYsT2kaufmTRtHi5Dy4xQDB-ZNgroV2jM8pzGW3fgxhgjsxXFdtfSRLfSsOXKvavrq5cTFy0lUY3kaB5lMsTdgkMySBmsTF6cysXhZ8WR9auLxUlfZQBKBv2C802qNdh4lYea-bcqO-BQJEfTB7f_YJ3-VO043b41SUhvUXuXvP8nbQygTWuGZlOX1yVK_oMBmyCl4GZkWYaWwxDTJjPsZRVtpflPZpZpxk1LFX=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10629866_280900275445541_1641465419404022922_n.jpg?oh=f157a76850a17118d2fa08b4dc24159f&oe=5480E7A7&__gda__=1417158267_202c931c85e15e7a9aa7d40a4ae5e9d2)
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...