Rais Kikwete alipotoa pole kwa majeruhi waliokanyagana wakati wa mkutano wa kampeni za urais Morogoro
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro Dkt. Ritha Lyamuya alipokwenda kuwapa pole majeruhi walioumia katika msongamano mkubwa uliotokea katika mlango wa kutokea nje baada ya mkutano wa kampeni wa CCM katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana Septemba 6, 2015. Watu wawili walipoteza maisha, akiwemo mvulana wa miaka 12 aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Abdallah na mwanamama Grace George (42), ambapo jumla ya watu 17...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s72-c/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-zvwSGnncwAQ/Ve2i3WmZzKI/AAAAAAAH3IE/wY6Wb4YUrRA/s640/h1.jpg)
RAIS KIKWETE AWAPA POLE MAJERUHI YA MSONGAMANO WA WANANCHI BAADA YA MKUTANO WA KAMPENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI MOROGORO JANA
9 years ago
Habarileo08 Sep
JK atoa pole kwa wafiwa, majeruhi
RAIS Jakaya Kikwete amezifariji familia mbili zilizofiwa na ndugu zao pamoja na majeruhi 19 waliojeruhiwa kutokana na kusukumana na kukanyagana milangoni wakati wakitoka ndani ya Uwanja wa Jamhuri mjini hapa, baada ya mkutano mkubwa wa kampeni za urais wa mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s72-c/m10.jpg)
JK NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAUTEKA MJI WA MOROGORO KWA MKUTANO WA KIHISTORIA WA KAMPENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s640/m10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5roUNGwxk2g/VezBQoeRcAI/AAAAAAAH2wU/jdg6jOyRH5Q/s640/m11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-067SNcZo8xY/VezBQMeFdGI/AAAAAAAH2wY/vgJxLzlbEJM/s640/m1.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s72-c/346.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s640/346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nmnQAqLlb0Q/VhUfV6JehaI/AAAAAAABJhA/6rYP1PBzMGQ/s640/349.jpg)
10 years ago
GPL01 Mar
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Rais Kikwete atoa pole nyumbani kwa marehemu Jaji Mstaafu Lewis Makame
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame Masaki jijini Dar es salaam aliyefariki katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2014.
Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji...
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA