Mtumie ujumbe wa kumjulia hali na kumpa pole Rais Kikwete kwa kupitia namba yake hii
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete ametoa namba yake maalumu kwa ajili ya Wananchi kumjulia hali na kumpa pole,ambapo atapokea ujumbe wako na kuujibu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Nov
UNAWEZA KUMTUMIA UJUMBE RAIS JAKAYA KIKWETE KUMJULIA HALI KWENYE NAMBA YAKE HAPO CHINI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s72-c/D92A1171.jpg)
Wakuu wa Mkoa wamtembelea na kumjulia hali Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6tWNV-nXIU/VInBsy90U6I/AAAAAAADRWs/MgBlh9Z3JCU/s1600/D92A1171.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
KADI ZA KUMPA POLE RAIS JAKAYA KIKWETE ZIPELEKWE UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC,
![](http://www.sar-el.org/wp/wp-content/uploads/get-well-soon.jpg)
9 years ago
VijimamboWATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA
Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s72-c/0L7C0440.jpg)
JK akutana na Jaji Mkuu wa Tanzania na ujumbe wake waliomtembelea kumjulia hali marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-sekbUKX_kb8/VGlok5rdW7I/AAAAAAAGxsg/ssF0x0qrcS4/s1600/0L7C0440.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu waTanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake walipomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Jaji Mkuu na ujumbe wake wako Marekani kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine yeye na ujumbe wake watahudhuria mkutano maalumu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8a9yLkKQTdtYSL7xX5-eR-yfdLEKLtOax01l7Pd6N9MS9p105NdfIE0ZYAxe0siqJEOITA*UhuB61rtTxcvREAp/JK0.jpg?width=650)
JK ATEMBELEWA NA JAJI MKUU WA TANZANIA NA UJUMBE WAKE WALIOFIKA KUMJULIA HALI BALTIMORE, MAREKANI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s72-c/_MG_7722.jpg)
MAGUFULI AMJULIA HALI NA KUMPA POLE MEYA WA JIJI LA MBEYA MH ATHANAS KAPINGA BAADA YA KUPATA AJALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-50w3ZwM6Mv8/VeErptPTN4I/AAAAAAAC-L8/F3RAVeRU4TY/s640/_MG_7722.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-buKP4HAkcM0/VeErpdi_IRI/AAAAAAAC-L4/lsNfQRC2C6I/s640/_MG_7734.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MKUU MH PINDA AMTEMBELEA NA KUMJULIA HALI RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR, SALMIN AMOUR
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Rais Kikwete kuhutubia wananchi kupitia mkutano utakaorushwa Live na TBC saa 11 jioni hii
TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA LEO ALHAMISI TAREHE 4 SEPTEMBA, 2014 SAA KUMI JIONI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATAZUNGUMZA NA WANANCHI KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE WA MKOA WA DODOMA, UTAKAOFANYIKA CHUO CHA MIPANGO – DODOMA.
MKUTANO HUO UTATANGAZWA MOJA KWA MOJA (LIVE) KUPITIA KITUO CHA TELEVISHENI CHA TAIFA TBC.
ASANTENI
IMETOLEWA NA;
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS,
IKULU – DAR ES SALAAM.
4 SEPTEMBA,2014