Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah MwambeneMAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA WAKIWA HOSPITALI YA SELIAN

Baadhi ya majeruhi wakiwa katika hospitali ya Rufaa ya Selian mkoani Arusha wakipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine uliopo karibu na Mahakama Kuu jijini Arusha usiku wa kuamkia Julai 7, mwaka huu.
Katika mlipuko huo, watu nane walijeruhiwa vibaya huku mmoja akikatwa mguu baada ya kuumia sana. (PICHA NA… ...

 

11 years ago

CloudsFM

MMOJA WA MAJERUHI WA BOMU ARUSHA AKIMBIZWA NAIROBI,KENYA KWA MATIBABU ZAIDI

Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.
Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Polisi Kamishina Issaya Mngulu amesema kuwa tukio hilo lilitokea majira ya saa nane usiku ambapo watu wasiojulikana walirusha bomu hilo ndani ya mgahawa ujulikanao kamaVama Traditional Indian Cusino uliopo jirani na viwanja vya Gymkhana jijini Arusha.

Pamoja na juhudi ambazo zimekuwa zikifanywa na Jeshi la Polisi...

 

11 years ago

GPL

MAJERUHI WA BOMU LILILOLIPUKA KANISANI JIJINI MWANZA

Mmoja wa majeruhi wa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kutengenezwa ‘kienyeji’ ambao ulilipuka katika vyumba vya Hosteli za Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T), mtaa wa Gana jana usiku. Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, amesema mlipuko unaodaiwa kutokea jana, ulitokana na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu la kutengenezwa ‘kienyeji’ ambao ulilipuka katika vyumba vya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bomu latikisa Arusha



 Lalipuka mgahawani, wanane wajeruhiwa Watuhumiwa wawili mbaroni, 25 wasakwa Kamati ya usalama ya mkoa yalaumiwa
WAANDISHI WETU, ARUSHA NA DAR
WATU wanane wakiwemo wanne wa familia moja  wenye asili ya kiasia, wamelipukiwa na bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakila chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cusine uliopo mtaa wa Uzungunni mjini Arusha.
Tukio hilo ambalo ni la sita kutokea jijini Arusha, lilitokea juzi, saa 4.30 usiku, katika mgawaha huo uliopo jirani na...

 

11 years ago

GPL

NANE WAJERUHIWA NA BOMU ARUSHA

  Watu 8, wengi wao ni wenye asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa kwa bomu lililotupwa kwenye Mgahawa wa Gymkhana Arusha usiku wa kuamkia leo!

 

11 years ago

GPL

BOMU LALIPUKA NA KUJERUHI ARUSHA

Hali ya sintofahamu iliyowakumba wakazi wa jiji la Arusha baada ya bomu kulipuka jana. Majeruhi baada ya bomu kulipuka.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bomu jingine lajeruhi 17 Arusha

MATUKIO ya milipuko ya mabomu yameendelea kulitikisa Jiji la Arusha baada ya watu 17 waliokuwa wakiangalia mpira kwenye baa ya Arusha Night Park, iliyopo maeneo ya Mianzini kujeruhiwa vibaya na...

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sita wa bomu Arusha waruhusiwa

MAJERUHI sita kati ya nane wa bomu lililorushwa kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini hapa juzi, wameruhusiwa kutoka Hospitali ya KKKT Seliani huku mmoja akipelekwa jijini Nairobi, Kenya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani