Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sita wa bomu Arusha waruhusiwa

MAJERUHI sita kati ya nane wa bomu lililorushwa kwenye mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini hapa juzi, wameruhusiwa kutoka Hospitali ya KKKT Seliani huku mmoja akipelekwa jijini Nairobi, Kenya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu waua sita Somalia

Watu wanaokadiriwa kufikia sita wamekufa kutokana na mlipuko mkubwa wa bomu katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bomu larushwa ndani ya basi Kigoma, watatu wauawa, sita wajeruhiwa

Watu watatu wamekufa akiwepo mtoto mchanga na wengine sita kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria (Hiace) kurushiwa bomu.

 

10 years ago

Mwananchi

Bomu latupwa ndani ya basi Kigoma, laua watatu na kuacha sita taabani

Watu watatu wamekufa, akiwemo mtoto mchanga ambaye mashuhuda wanasema "alitupwa nje," baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kurushiwa bomu na watu wasiojulikana huko Kasesema, Kigoma alfajiri ya leo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bomu latikisa Arusha



 Lalipuka mgahawani, wanane wajeruhiwa Watuhumiwa wawili mbaroni, 25 wasakwa Kamati ya usalama ya mkoa yalaumiwa
WAANDISHI WETU, ARUSHA NA DAR
WATU wanane wakiwemo wanne wa familia moja  wenye asili ya kiasia, wamelipukiwa na bomu na kujeruhiwa vibaya wakati wakila chakula cha jioni katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cusine uliopo mtaa wa Uzungunni mjini Arusha.
Tukio hilo ambalo ni la sita kutokea jijini Arusha, lilitokea juzi, saa 4.30 usiku, katika mgawaha huo uliopo jirani na...

 

11 years ago

GPL

BOMU LALIPUKA NA KUJERUHI ARUSHA

Hali ya sintofahamu iliyowakumba wakazi wa jiji la Arusha baada ya bomu kulipuka jana. Majeruhi baada ya bomu kulipuka.…

 

11 years ago

Habarileo

Majeruhi wa bomu la Arusha wachunguzwa

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah MwambeneMAJERUHI wa bomu lililolipuliwa katika mgahawa wa Vama Traditional Indian Cuisine jijini Arusha juzi, wanachunguzwa na Jeshi la Polisi na Idara ya Uhamiaji.

 

11 years ago

GPL

NANE WAJERUHIWA NA BOMU ARUSHA

  Watu 8, wengi wao ni wenye asili ya Asia, wanahofiwa kujeruhiwa kwa bomu lililotupwa kwenye Mgahawa wa Gymkhana Arusha usiku wa kuamkia leo!

 

11 years ago

Dewji Blog

Ustadhi ajeruhiwa na bomu Arusha

bomu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.

Na Mwandishi wetu

Mlipuko inayodhaniwa kuwa mabomu imezidi kushamiri katika Jiji la Arusha, baada ya watu wawili kujeruhiwa na kilichodaiwa kuwa ni bomu la kutupa kwa mkono.

Waliojeruhiwa ni Ustadhi Sudi Ali Suli, pamoja na mgeni wake aliyetambulika kwa jina la Mhaji Hussein kutoka jijini Nairobi, Kenya.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha leo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio la mlipuko...

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa bomu la Arusha ‘walindwa’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, jana ilipewa ulinzi mkali wa Polisi wakati watuhumiwa tisa wa mlipuko wa bomu, uliotokea baa ya Arusha Night Park, walipofikishwa mahakamani hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani