Tambwe 4, Yanga 8, Julio bure
Yanga imemfunga mdomo kocha wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ baada ya kuisambaratisha timu yake kwa mabao 8-0, huku mabingwa watetezi, Azam wakilazimishwa sare 1-1 na Mbeya City.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Julio: Tegete ifunge Yanga
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Ole wenu Yanga, aonya Julio
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Julio: Yanga SC walifanya kosa kumtema Chuji
9 years ago
Habarileo19 Sep
Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?
TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Tambwe awapa raha Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsODdanfIL8jvr0Xdh9hcysXxfyyFoNKa6htsM4X4RM-LS7TjFo61a2kpe9zNgGZ0Spd1*Gwguh1ug7b3w1SQkKm3/Tambwecopy.jpg?width=650)
Tambwe: Yanga njooni tuzungumze
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROZE3OFD*ikU-*qhJXVZqCErgJnTWTlaH-ThDz4mG1*Jk-sjSUSFukF3mvAHg6*ppq*1Cp1NGZPwPNIYACOKLdq/gfhgfgh.gif?width=650)
Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru
9 years ago
Habarileo04 Dec
Tambwe aongeza majeruhi Yanga
WAKATI kikosi cha Yanga kinatarajia kuingia kambini Jumatatu ijayo kujiandaa na michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara itakayofanyika mkoani Tanga, mshambuliaji Amis Tambwe ameshindwa kuanza mazoezi kutokana na maumivu ya shingo.
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Tambwe aanza mavitu Yanga
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI mpya wa timu ya Yanga, Mrundi Amis Tambwe, jana alianza kujifua na kikosi hicho huku akionekana kuanza kwa kasi baada ya kuinogesha sehemu ya ushambuliaji ya timu hiyo mazoezini.
Tambwe alifanya uamuzi wa kushtukiza Jumatatu iliyopita baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja Yanga, kufuatia kusitishiwa mkataba wake na viongozi wa Simba.
Katika mazoezi hayo ya Yanga yaliyofanyika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Tambwe...