Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julio: Yanga SC walifanya kosa kumtema Chuji

Kocha wa Mwadui FC , Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema kuwa si Simba wala Yanga kwa sasa yenye kiungo bora  zaidi ya kiungo wake mzoefu, Athumani Idd ‘Chuji’.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chuji aiangukia Yanga

SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Chuji asamehewa Yanga

Uongozi wa Yanga umemrejesha kundini, kiungo Athuman Iddi ‘Chuji’ aliyekuwa akitumikia adhabu ya kusimamishwa kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.

 

11 years ago

GPL

Chuji asimamishwa Yanga

Athumani Idd ‘Chuji’ Ally Kamwe na Hans Mloli
HALI si shwari kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga baada ya juzi Jumamosi uongozi wa timu hiyo kuwapa barua za onyo kuhusu utovu wao wa nidhamu na mambo mengine klabuni hapo. Imeelezwa kuwa, juzi kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’, alipewa barua ya kusimamishwa klabuni hapo kwa siku zisizojulikana huku nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’,...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtosa Chuji CAF

Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga offload ‘Chuji’, Kaseja wants to leave

>Mainland giants Young Africans have axed three players as they restructure ahead of next season’s Premier League and international club competitions.

 

11 years ago

GPL

Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana

Athumani Idd ‘Chuji’. Musa Mateja na Khadija Mngwai
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajiwa kuwasili nchini leo alfajiri kutoka Uturuki kilipokuwa kimeweka kambi kwa muda wa wiki mbili, sakata la kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’ limeonekana kutozingatiwa ambapo hakuna anayefuatilia juu ya adhabu yake. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu, hakwenda Uturuki...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe 4, Yanga 8, Julio bure

Yanga imemfunga mdomo kocha wa Coastal Union,  Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ baada ya kuisambaratisha  timu yake kwa  mabao 8-0, huku mabingwa watetezi, Azam wakilazimishwa sare 1-1 na Mbeya City.

 

9 years ago

Mwananchi

Julio: Tegete ifunge Yanga

Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’  amesema mshambuliaji wake Jerryson Tegete amekuwa ‘mtaam kama Mcharo’ lakini  amemtaka kuthibitisha ubora wake kwa kuifunga timu yake ya zamani, Yanga watakayokutana nayo Jumatano ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani