Yanga offload ‘Chuji’, Kaseja wants to leave
>Mainland giants Young Africans have axed three players as they restructure ahead of next season’s Premier League and international club competitions.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSiZyCoYOXmcRx5KaDN9SfoRwaFYDOee-iOieM7F4R7M0KwCequN8cj9JM-RILghprsgEi5jDsl21FqB9kBh9xC/KIUNGOCHIJI.jpg?width=650)
Chuji asimamishwa Yanga
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Chuji asamehewa Yanga
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Chuji aiangukia Yanga
SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Yanga yamtosa Chuji CAF
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-aPaGg6PG8Uo%2FVK63KAKkm_I%2FAAAAAAADVGg%2FKUDFaMpRG_s%2Fs1600%2FIMG_50362.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Julio: Yanga SC walifanya kosa kumtema Chuji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdDkfuN9lynwpZ5YNuCZE8Lqq3kE91uSWAE8GfpuqZ-tXvdgl4Tb5Yb6wkXnN-cFyhBcrsgrxpKMquZG5M5-7jE/MASIKINICHUJI.jpg?width=650)
Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Kaseja atimuliwa Yanga
JUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...