Yanga yamtosa Chuji CAF
Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Yanga yamtosa shushushu
Yanga wameonyesha uzalendo kwa kumnyima taarifa muhimu kuhusu Azam FC kocha wa El Merreikh, Sudan aliyetua Zanzibar kwa lengo la kuwachunguza mabingwa hao wa Bara.
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Yanga yamtosa Mkenya
Uongozi wa Yanga umesema kuwa umeamua kuachana na Mkenya Patrick Naggi baada ya kutokuridhishwa na utendaji wake.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Chuji asamehewa Yanga
Uongozi wa Yanga umemrejesha kundini, kiungo Athuman Iddi ‘Chuji’ aliyekuwa akitumikia adhabu ya kusimamishwa kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.
11 years ago
GPL
Chuji asimamishwa Yanga
Athumani Idd ‘Chuji’ Ally Kamwe na Hans Mloli
HALI si shwari kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga baada ya juzi Jumamosi uongozi wa timu hiyo kuwapa barua za onyo kuhusu utovu wao wa nidhamu na mambo mengine klabuni hapo. Imeelezwa kuwa, juzi kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’, alipewa barua ya kusimamishwa klabuni hapo kwa siku zisizojulikana huku nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Chuji aiangukia Yanga
SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...
11 years ago
TheCitizen17 May
Yanga offload ‘Chuji’, Kaseja wants to leave
>Mainland giants Young Africans have axed three players as they restructure ahead of next season’s Premier League and international club competitions.
11 years ago
GPL
Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana
Athumani Idd ‘Chuji’. Musa Mateja na Khadija Mngwai
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajiwa kuwasili nchini leo alfajiri kutoka Uturuki kilipokuwa kimeweka kambi kwa muda wa wiki mbili, sakata la kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’ limeonekana kutozingatiwa ambapo hakuna anayefuatilia juu ya adhabu yake. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu, hakwenda Uturuki...
11 years ago
Mwananchi31 Oct
Julio: Yanga SC walifanya kosa kumtema Chuji
Kocha wa Mwadui FC , Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema kuwa si Simba wala Yanga kwa sasa yenye kiungo bora zaidi ya kiungo wake mzoefu, Athumani Idd ‘Chuji’.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania