Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chuji asamehewa Yanga

Uongozi wa Yanga umemrejesha kundini, kiungo Athuman Iddi ‘Chuji’ aliyekuwa akitumikia adhabu ya kusimamishwa kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Chuji asimamishwa Yanga

Athumani Idd ‘Chuji’ Ally Kamwe na Hans Mloli
HALI si shwari kwa baadhi ya wachezaji wa Yanga baada ya juzi Jumamosi uongozi wa timu hiyo kuwapa barua za onyo kuhusu utovu wao wa nidhamu na mambo mengine klabuni hapo. Imeelezwa kuwa, juzi kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’, alipewa barua ya kusimamishwa klabuni hapo kwa siku zisizojulikana huku nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chuji aiangukia Yanga

SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtosa Chuji CAF

Balaa limeendelea kumwandama kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ baada ya kutoswa kwenye kikosi cha Yanga kitakachoshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga offload ‘Chuji’, Kaseja wants to leave

>Mainland giants Young Africans have axed three players as they restructure ahead of next season’s Premier League and international club competitions.

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Yanga SC walifanya kosa kumtema Chuji

Kocha wa Mwadui FC , Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema kuwa si Simba wala Yanga kwa sasa yenye kiungo bora  zaidi ya kiungo wake mzoefu, Athumani Idd ‘Chuji’.

 

11 years ago

GPL

Masikini Chuji, Yanga yatua, apigwa danadana

Athumani Idd ‘Chuji’. Musa Mateja na Khadija Mngwai
WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajiwa kuwasili nchini leo alfajiri kutoka Uturuki kilipokuwa kimeweka kambi kwa muda wa wiki mbili, sakata la kiungo wa timu hiyo, Athumani Idd ‘Chuji’ limeonekana kutozingatiwa ambapo hakuna anayefuatilia juu ya adhabu yake. Chuji alisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu, hakwenda Uturuki...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Shilole Asamehewa

Staa wa Shilole baada ya sakata lake la kusambaa kwa picha zinazoonesha sehemu ya maungo yake ya siri hadharani akiwa katika onesho huko Ubeligiji, hatimaye amejisalimisha BASATA kujieleza na kusamehewa rasmi kwa kosa alilofanya.

Shilole, maarufu zaidi kama Shishi Baby ameweka wazi taarifa hizo kwa mashabiki wake kuwaweka sawa, hasa pia baada ya taarifa kutoka kwa BASATA na tamko la Serikali Bungeni kuwa atachukuliwa hatua.

Eatv.tv

 

11 years ago

Mwananchi

Chuji atua Azam

Hata hivyo, kiungo huyo mwenyeji wa Dodoma  ameibukia Azam FC na taarifa za ndani zinasema  klabu hiyo imempa mkataba mfupi wa miezi sita ili kumwangalia kwanza mwenendo wake na kama itajiridhisha  watamwongezea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani