Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chuji atua Azam

Hata hivyo, kiungo huyo mwenyeji wa Dodoma  ameibukia Azam FC na taarifa za ndani zinasema  klabu hiyo imempa mkataba mfupi wa miezi sita ili kumwangalia kwanza mwenendo wake na kama itajiridhisha  watamwongezea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC

Aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Chuji akifanya yake leo mazoezini.

PICHA NA BINZUBEIRY

 

11 years ago

GPL

ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC

Aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Chuji akifanya yake leo mazoezini. PICHA NA…

 

11 years ago

GPL

CHUJI ATUA OMAN KUCHEZA SOKA

Kiungo mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’. Na Richard Bukos KIUNGO mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’, jana Alhamisi aliondoka nchini kuelekea Oman kukamilisha mipango ya kuichezea Oman FC ya nchini humo inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza. Chuji, akizungumza na gazeti hili dakika chache kabla ya kuondoka, akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, alisema amefarijika kupata timu nje...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kavumbagu atua Azam FC

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Azam FC, wamemtwaa mshambuliaji mahiri wa Yanga, Didier Kavumbagu na kumwaga wino kukipiga Azam Complex kwa mwaka mmoja. Kavumbagu alitua Yanga mwaka 2013 akitokea Atletico...

 

10 years ago

Mwananchi

Wawa atua Azam, Kiemba agomewa

Wakati beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Paschal Serge Wawa akimwaga wino mkataba wa miaka miwili kuichezea Azam, Simba imekataa maombi ya Azam kumsajili kiungo Amri Kiemba kwa mkopo.

 

10 years ago

GPL

CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV

Mtangazaji Charles Hillary akiwa ndani ya studio za Azam TV. MTANGAZAJI mahiri Charles Hillary aliyekuwa Shirika la Habari la BBC jijini London leo ametua rasmi katika kituo cha Television cha Azam TV kuungana na watangazaji wenzake.
Katika tasnia ya habari, Charles Hillary amefanya kazi ya utangazaji kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1993 akiwa Radio Tanzania Dar es Salaam.
Mwaka 1994 alijiunga na Radio One ikiwa ni radio ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kim anukia Simba, Hall atua Azam

Dar es Salaam. Wakati Simba ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya na majina ya makocha saba yakitajwa, kocha wa zamani wa Taifa Stars, Kim Poulsen akipewa nafasi kubwa ya kupewa kibarua hicho, Azam imetangaza kumrejesha Stewart Hall kuwa kocha mpya.

 

10 years ago

GPL

Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake

Kocha mpya wa Azam, Muingereza Stewart Hall. Na Hans Mloli, Dar es Salaam
AZAM FC inatarajia kuingia mkataba na kocha wake mpya, Muingereza, Stewart Hall leo lakini kingine kipya ni kwamba kocha huyo atatua na mpishi wake maalum wa timu pamoja na benchi zima la ufundi kutoka nchini Uingereza. Taarifa zilizolifikia Championi Jumatatu kutoka kwa mmoja wa mabosi wa juu wa Azam, zimeeleza kuwa Stewart ameamua kufanya hivyo kwa...

 

11 years ago

GPL

KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC

Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani