Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawa atua Azam, Kiemba agomewa

Wakati beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Paschal Serge Wawa akimwaga wino mkataba wa miaka miwili kuichezea Azam, Simba imekataa maombi ya Azam kumsajili kiungo Amri Kiemba kwa mkopo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ya Kiemba yatimia Azam

Simba imekubali kumwachia kiungo wake Amri Kiemba achezee kwa mkopo Azam ambako atasajiliwa kwa dau la Sh10 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiemba afurahia kuweka rekodi akiwa Azam

Kiungo wa Azam, Amri Kiemba amesema anafurahia kutua katika klabu hiyo kwani kutampa fursa ya kushiriki mashindano ya kimataifa mapema mwakani huku akiweka rekodi ya kipekee.

 

10 years ago

Habarileo

Wawa aongeza mkataba Azam

BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.

 

10 years ago

TheCitizen

Football is my life, says Azam’s Pascal Wawa

Serges Pascal Wawa Sfondo won his second Cecafa Kagame Cup with a different club when he guided Azam FC to a 2-0 win over Kenya’s Gor Mahia on Sunday at the National Stadium.

 

9 years ago

TheCitizen

Wawa links up with Azam squad ahead of Simba tie

Azam FC defender Pascal Wawa has linked up with teammates after a long mid-season vacation in Cote d’Ivoire.

 

11 years ago

Mwananchi

Chuji atua Azam

Hata hivyo, kiungo huyo mwenyeji wa Dodoma  ameibukia Azam FC na taarifa za ndani zinasema  klabu hiyo imempa mkataba mfupi wa miezi sita ili kumwangalia kwanza mwenendo wake na kama itajiridhisha  watamwongezea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kavumbagu atua Azam FC

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Azam FC, wamemtwaa mshambuliaji mahiri wa Yanga, Didier Kavumbagu na kumwaga wino kukipiga Azam Complex kwa mwaka mmoja. Kavumbagu alitua Yanga mwaka 2013 akitokea Atletico...

 

11 years ago

CloudsFM

ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC

Aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Chuji akifanya yake leo mazoezini.

PICHA NA BINZUBEIRY

 

10 years ago

GPL

CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV

Mtangazaji Charles Hillary akiwa ndani ya studio za Azam TV. MTANGAZAJI mahiri Charles Hillary aliyekuwa Shirika la Habari la BBC jijini London leo ametua rasmi katika kituo cha Television cha Azam TV kuungana na watangazaji wenzake.
Katika tasnia ya habari, Charles Hillary amefanya kazi ya utangazaji kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1993 akiwa Radio Tanzania Dar es Salaam.
Mwaka 1994 alijiunga na Radio One ikiwa ni radio ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani