Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ya Kiemba yatimia Azam

Simba imekubali kumwachia kiungo wake Amri Kiemba achezee kwa mkopo Azam ambako atasajiliwa kwa dau la Sh10 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wawa atua Azam, Kiemba agomewa

Wakati beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Paschal Serge Wawa akimwaga wino mkataba wa miaka miwili kuichezea Azam, Simba imekataa maombi ya Azam kumsajili kiungo Amri Kiemba kwa mkopo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiemba afurahia kuweka rekodi akiwa Azam

Kiungo wa Azam, Amri Kiemba amesema anafurahia kutua katika klabu hiyo kwani kutampa fursa ya kushiriki mashindano ya kimataifa mapema mwakani huku akiweka rekodi ya kipekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kauli ya JK yatimia Kalenga

KAULI ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete kutaka wanachama wa chama hicho kuacha upole na kujibu mapigo kwa wapinzani imetimia katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiemba ‘Jembe’ Mapinduzi

KIUNGO mchezeshaji wa Wekundu wa Msimbazi, Simba, Amri Kiemba, ameweka rekodi ya kipekee katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2014, kwa kuifungia timu yake hiyo mabao ya ushindi yaliyoiwezesha kuingia...

 

11 years ago

Mwananchi

MAENDELEO: Ndoto ya maji safi Mweteni sasa yatimia

>Hatimaye ndoto ya wananchi wa kijiji cha Mweteni, Kata ya Bwambo wilayani hapa ya kupata huduma ya maji safi na salama, imetimia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiemba, Kisiga waitesa Simba

HATIMA ya wachezaji Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shaabani Kisiga wa Simba kujerea dimbani, bado haijulikani, kutokana na kikao baina yao na Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva, kushindwa kuzaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiemba ‘amliza’ Matola mazoezini

Kocha msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema kukosekana kwa kiungo Amri Kiemba ni pengo kubwa kwa klabu hiyo na kuutaka uongozi ufanye jitihada haraka kuziba nafasi hiyo.

 

10 years ago

GPL

Kiemba, Kisiga watimuliwa Simba SC

Mkongwe wa Simba Amri Kiemba. Na Mwandishi Wetu
UNAWEZA kusema kimenuka Simba baada ya uongozi wake kuamua kuwaondoa kambini wachezaji wake watatu wakiwemo wakongwe wawili.Shabani Kisiga na Amri Kiemba wameondolewa kambini Simba mjini Mbeya na kutakiwa kurejea jijini Dar es Salaam wakati timu ikifunga safari hadi Iringa ambako itaweka kambi. Mwingine ambaye ameondolewa kambini ni kinda Haruna Chanongo ambaye ataungana na akina...

 

9 years ago

Habarileo

Kiemba ampa somo Elias Maguli

KIUNGO wa Stand United, Amri Kiemba amemtaka mshambuliaji wa timu hiyo Elias Maguli kutokimbilia timu kubwa kipindi hiki badala yake aendelee kuitumikia timu hiyo ili kukuza kiwango chake na kupata uzoefu wa kutosha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani