Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiemba ‘amliza’ Matola mazoezini

Kocha msaidizi wa Simba, Suleiman Matola amesema kukosekana kwa kiungo Amri Kiemba ni pengo kubwa kwa klabu hiyo na kuutaka uongozi ufanye jitihada haraka kuziba nafasi hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ya Kiemba yatimia Azam

Simba imekubali kumwachia kiungo wake Amri Kiemba achezee kwa mkopo Azam ambako atasajiliwa kwa dau la Sh10 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kiemba ‘Jembe’ Mapinduzi

KIUNGO mchezeshaji wa Wekundu wa Msimbazi, Simba, Amri Kiemba, ameweka rekodi ya kipekee katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2014, kwa kuifungia timu yake hiyo mabao ya ushindi yaliyoiwezesha kuingia...

 

9 years ago

Bongo Movies

Kuambiana Amliza Niva

Zuberi Mohamed ‘Niva’ amesema filamu ya ‘Kipaji Changu’ aliyoigiza na marehemu Adam Kuambiana (Pichani),humtoa machozi kila anapoitazama.

“Kipaji Changu” imetoka  wiki iliyopita lakini filamu hiyo ilichezwa muda mfdupi  kabla ya kufariki kwa Kuambiana Mei Mwaka jana.

Akizungumza swala hilo, Niva alisema “Filamu hii imenipa mawazo ambayo nahisi kama bado kuambiana yupo.”

Chanzo: Nipashe

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AMLIZA WEMA!

Musa mateja Inasikitisha! Mrembo Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akiangua kilio baada ya kupewa maneno ya kejeli na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia kupigwa chini kwenye kura za kuwania Ubunge wa Viti Maalum mkoani Singida kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Jp3V1k ...

 

11 years ago

GPL

MWARABU AMLIZA WEMA...

Stori: Makongoro Oging’ NA MAYASA MARIWATA KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika. Staa wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu. Chanzo...

 

10 years ago

GPL

MAI AMLIZA DAVINA

Stori: Hamida Hassan Ni shida! Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’, hivi karibuni alimliza staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ baada ya kuchelewa kufika ukumbini akiwa MC (Master of Ceremony) kwenye shughuli ya mdogo wake (Davina). Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’. Mpango mzima ulijiri wiki iliyopita nyumbani kwa Davina maeneo ya Mbezi Beach, Dar...

 

10 years ago

GPL

Kiemba, Kisiga watimuliwa Simba SC

Mkongwe wa Simba Amri Kiemba. Na Mwandishi Wetu
UNAWEZA kusema kimenuka Simba baada ya uongozi wake kuamua kuwaondoa kambini wachezaji wake watatu wakiwemo wakongwe wawili.Shabani Kisiga na Amri Kiemba wameondolewa kambini Simba mjini Mbeya na kutakiwa kurejea jijini Dar es Salaam wakati timu ikifunga safari hadi Iringa ambako itaweka kambi. Mwingine ambaye ameondolewa kambini ni kinda Haruna Chanongo ambaye ataungana na akina...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiemba, Kisiga waitesa Simba

HATIMA ya wachezaji Amri Kiemba, Haruna Chanongo na Shaabani Kisiga wa Simba kujerea dimbani, bado haijulikani, kutokana na kikao baina yao na Rais wa klabu hiyo, Evance Aveva, kushindwa kuzaa...

 

9 years ago

GPL

KAJALA AMLIZA MUMEWE JELA

Mussa Maeja Baada ya kuenea kwa madai kuwa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepangishiwa bonge la mjengo na kigogo mmoja (jina kapuni), mumewe Faraji Agustino anadaiwa kulizwa na vitendo vya mkewe huyo vinavyomuumiza akiwa jela. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MWyDk1

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani