KAJALA AMLIZA MUMEWE JELA
![](http://api.ning.com:80/files/0qR8BrPZ-VZApCFeAS4vjnrpP2gvHBTnji7WlDiq3a2vk7a8RzJoPma*1Es*O7n*YsmExjN*fbJT9DuY2gwG4xkwq8sqdmmz/Kajala.jpg?width=650)
Mussa Maeja Baada ya kuenea kwa madai kuwa staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ amepangishiwa bonge la mjengo na kigogo mmoja (jina kapuni), mumewe Faraji Agustino anadaiwa kulizwa na vitendo vya mkewe huyo vinavyomuumiza akiwa jela. ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MWyDk1
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-v2Zv8tAmJYs/VBxXPhzcjWI/AAAAAAAAhaQ/xzc3cff0xbI/s72-c/KAJALA%2B(6).jpg)
KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA MUMEWE JELA
![](http://4.bp.blogspot.com/-v2Zv8tAmJYs/VBxXPhzcjWI/AAAAAAAAhaQ/xzc3cff0xbI/s640/KAJALA%2B(6).jpg)
“Nampenda sana mume wangu, hilo halina ubishi na pia najua anateseka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilqkeKs5dgj-SK-zijgIKf6ctgUP2erkkysYcO7IvM6txccuQCmiuEMDmv0UHwMCuhsWlqwKU5WF*UmsOhZasfae/kajala.jpg)
KAJALA AKWAMA PESA YA KUMTOA JELA MUMEWE
Stori: Imelda Mtema Licha ya mkwanja kumtembelea, msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekwama kupata pesa ya kumlipia faini mumewe Faraji Chambo ili aweze kutoka jela. Msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mumewe mahakamani. Akizungumzia ombi la mumewe huyo kumtaka kutofuja pesa badala yake amlipie faini ili aondokane na mateso ya gerezani, Kajala alisema ni kweli… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrkGkJNd-wu0RS7e0ADQ-P0TUwQBiAFnTuwxTBUQdCS7YR0AvdXJATDoVW2162ezWuTq-gWU938bc4jK3K8k65b/KAJALA.jpg?width=650)
MUME WA MTU AMLIZA KAJALA
Stori:Â Imelda Mtema
BAADA ya kuzagaa kwa skandali kuwa mwigizaji Kajala Masanja anatembea na mume wa mtu, staa huyo ameibuka na kueleza kulizwa na ishu hiyo akianika siri nzito ambayo ilikuwa nyuma ya pazia. Kajala Masanja. Taarifa za awali ambazo Ijumaa Wikienda lilizipata zilieleza kuwa tangu habari hiyo ya mjini ilipuke kama moto wa kifuu kwenye mitandao na baadhi ya magazeti (siyo ya Global), Kajala amekuwa akiishi...
11 years ago
Michuzi06 May
MKE AZIRAI BAADA YA KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO YEYE NA MUMEWE
baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela
Watu wawili wa familia moja Frank Charles na mkewe Asia Khamis wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi. Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Mbeya Maria Batulaine amewatia hatiani wanandoa hao baada ya kuridhishwa na ushahidi usio shaka wa mashahidi wanne wa upande wa mashitaka. Imedaiwa na Mwendesha mashitaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxep7-cvQFFJxlOGdOHNNohsQl2eyZxB5pSMIjaN2BRuk3n5Zj0jHdPfS4r*4vX8L2SVt6tpnSJqlWtKDDSgf8H3c/wema.jpg)
MWARABU AMLIZA WEMA...
Stori: Makongoro Oging’ NA MAYASA MARIWATA KUNA STAA wa sinema za Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika. Staa wa sinema za Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu. Chanzo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0Jk1wfiEEQdpLQSYQDHOir4Lkq*GFVUHpnHEEen1jTq0OQyrJAELw33UrxLy5J7HN*cElwmpaAF2BzE7M1NU3UR/frontpagewikienda.gif?width=650)
DIAMOND AMLIZA WEMA!
Musa mateja
Inasikitisha! Mrembo Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amejikuta akiangua kilio baada ya kupewa maneno ya kejeli na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia kupigwa chini kwenye kura za kuwania Ubunge wa Viti Maalum mkoani Singida kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Jp3V1k ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60t6wZHp78fBfVZnn6TZq9IBjKnAH9UvXoujXmO4xK8aWDu8LhPpIA0q30ezPACy5y2NsSXfQ3t4KqcPbsOXAqi/mai.jpg)
MAI AMLIZA DAVINA
Stori: Hamida Hassan Ni shida! Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’, hivi karibuni alimliza staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ baada ya kuchelewa kufika ukumbini akiwa MC (Master of Ceremony) kwenye shughuli ya mdogo wake (Davina). Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’. Mpango mzima ulijiri wiki iliyopita nyumbani kwa Davina maeneo ya Mbezi Beach, Dar...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania