MWARABU AMLIZA WEMA...
![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxep7-cvQFFJxlOGdOHNNohsQl2eyZxB5pSMIjaN2BRuk3n5Zj0jHdPfS4r*4vX8L2SVt6tpnSJqlWtKDDSgf8H3c/wema.jpg)
Stori: Makongoro Oging’ NA MAYASA MARIWATA KUNA STAA wa sinema za Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika. Staa wa sinema za Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu. Chanzo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0Jk1wfiEEQdpLQSYQDHOir4Lkq*GFVUHpnHEEen1jTq0OQyrJAELw33UrxLy5J7HN*cElwmpaAF2BzE7M1NU3UR/frontpagewikienda.gif?width=650)
DIAMOND AMLIZA WEMA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyV-tnnykKzMDhb2yO9TYiEtD1U9vIwkeZBjFFGZsH0w3X3I8rjGUW1pdh7Y6pfZOjvYfMWWYuxmdJO6gPfTMYJD/M.jpg?width=650)
WEMA AMLIZA MAMA SHARO MILIONEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrMVMlG-oGRDNNmMJebs0h5UY5dPNyWG1VCFAPXXJTUxJmwq3uMH6JASkEVKO9pbNSYu-sBxJtIIo6moQXa0CFcS/FCVRTY.jpg)
TAUSI AMPAGAWISHA MWARABU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLAUjwV2sT3o-5jh3KO83cB*-LTCFueil8jywmI5jpCLY0n9l1Zr5ABiCuo3X7KGMj*LOwqaG6X*vTOVC7AoL8X/Tiko.jpg)
TIKO ATAMANI KUOLEWA NA BABU MWARABU
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wbSHQ4vWK38/U2CXKtWof_I/AAAAAAAFeEw/mJ8pSgxB03A/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mwarabu wa Dubai a.k.a Mpoki safarini kurejea nchini
Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Tanzania Muarabu wa Dubai a.ka Mpoki ameondoka nchini Ujerumani kurudi nyumbani Tanzania baada ya ziara yake ya siku 4 kukamilika. Msanii huyo ambaye alifanya ziara nchini ujerumani baada ya kualikwa na Umoja wa wa Watanzania Ujerumani (U T U) kwa ajili ya Sherehe za muungano wa Tanzania, zilizoambatana na kongamano la kibiashara pamoja na Mkutano mkuu wa uchaguzi wa U T U.
Mchekeshaji huyo maarufu kutoka kundi la Orijino Komedi...
10 years ago
GPLJACK DUSTAN ADAIWA ANA MIMBA YA MWARABU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60t6wZHp78fBfVZnn6TZq9IBjKnAH9UvXoujXmO4xK8aWDu8LhPpIA0q30ezPACy5y2NsSXfQ3t4KqcPbsOXAqi/mai.jpg)
MAI AMLIZA DAVINA
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Kuambiana Amliza Niva
Zuberi Mohamed ‘Niva’ amesema filamu ya ‘Kipaji Changu’ aliyoigiza na marehemu Adam Kuambiana (Pichani),humtoa machozi kila anapoitazama.
“Kipaji Changu” imetoka wiki iliyopita lakini filamu hiyo ilichezwa muda mfdupi kabla ya kufariki kwa Kuambiana Mei Mwaka jana.
Akizungumza swala hilo, Niva alisema “Filamu hii imenipa mawazo ambayo nahisi kama bado kuambiana yupo.”
Chanzo: Nipashe