TAUSI AMPAGAWISHA MWARABU
![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrMVMlG-oGRDNNmMJebs0h5UY5dPNyWG1VCFAPXXJTUxJmwq3uMH6JASkEVKO9pbNSYu-sBxJtIIo6moQXa0CFcS/FCVRTY.jpg)
Brighton Masalu MSANII wa filamu za vichekesho, Tausi Mdegela amempagawisha kwa mauno mwanaume mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, mwenye asili ya Kiarabu na kuzua mishangao na miguno kutoka kwa wadau na mashabiki wa burudani. Mwarabu akimkumbatia msanii wa filamu za vichekesho, Tausi Mdegela. Kioja hicho kilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ukumbi wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar kulikokuwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Ngoma ampagawisha pluijm
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm, amekunwa na bao alilofunga mshambuliaji, Donald Ngoma, wakati timu hiyo ilipolazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) juzi.
Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ilishuhudiwa Ngoma akifunga bao hilo dakika ya 45 kwa mpira wa kubetua aliopiga baada ya kupokea krosi safi ya juu kutoka kwa beki wa kulia, Juma Abdul na kutuliza vyema...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Ali Kiba ampagawisha Jokate
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jokate Mwegelo, amemsifu msanii mwezake Ali Salehe ‘Ali Kiba’ kwa kutumbuiza muziki na ‘live Band’ kitu kinachoongeza mvuto kwenye maonyesho yake.
Akizungumza na MTANZANIA, Jokate alisema Ali Kiba ni mfano wa kuigwa kwa sababu muziki unakua na soko la kimataifa linahitaji wasanii wanaotumia ala za muziki wawapo jukwaani.
“Ali Kiba ni mfano wa kuigwa, wasanii tusipende kutumia CD kwenye majukwaa tunadumaza vipaji vyetu ni vyema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxep7-cvQFFJxlOGdOHNNohsQl2eyZxB5pSMIjaN2BRuk3n5Zj0jHdPfS4r*4vX8L2SVt6tpnSJqlWtKDDSgf8H3c/wema.jpg)
MWARABU AMLIZA WEMA...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLAUjwV2sT3o-5jh3KO83cB*-LTCFueil8jywmI5jpCLY0n9l1Zr5ABiCuo3X7KGMj*LOwqaG6X*vTOVC7AoL8X/Tiko.jpg)
TIKO ATAMANI KUOLEWA NA BABU MWARABU
10 years ago
GPLJACK DUSTAN ADAIWA ANA MIMBA YA MWARABU!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wbSHQ4vWK38/U2CXKtWof_I/AAAAAAAFeEw/mJ8pSgxB03A/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Mwarabu wa Dubai a.k.a Mpoki safarini kurejea nchini
Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Tanzania Muarabu wa Dubai a.ka Mpoki ameondoka nchini Ujerumani kurudi nyumbani Tanzania baada ya ziara yake ya siku 4 kukamilika. Msanii huyo ambaye alifanya ziara nchini ujerumani baada ya kualikwa na Umoja wa wa Watanzania Ujerumani (U T U) kwa ajili ya Sherehe za muungano wa Tanzania, zilizoambatana na kongamano la kibiashara pamoja na Mkutano mkuu wa uchaguzi wa U T U.
Mchekeshaji huyo maarufu kutoka kundi la Orijino Komedi...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/MLIMANI-4.jpg)
TAHARUKI MLIMANI CITY, MWARABU ADAKWA AKIPIGA PICHA MAENEO MUHIMU
11 years ago
Bongo504 Jul