New Video: Africana — Tausi
Tazama video ya vijana wawili wanaojiita Africana ya wimbo wa ‘Tausi’.
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboBALOZI AMINA SALUM ALI AHUTUBIA MKUTANO WA AFRICANA CONFERENCE MASSACHUSETTS
katika hotuba yake alichukua nafasi kuzungumzia masuala ya Afrika na umuhimu wa bara la Afrika kuwa...
10 years ago
GPLTAUSI AMPAGAWISHA MWARABU
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Tausi- 1: Dume hupendeza kuliko jike
LEO tumuangalie ndege ambaye watu wengi wanamfahamu kwa sababu ni moja kati ya ndege wanaofurahisha sana macho kutokana na uzuri wa rangi zake. Ni ndege Tausi. Tausi ni ndege aliye...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Thamani ya Tausi waijua polisi Pakistan
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Tausi: Bila King Majuto Usingenijua
Msanii wa kike mwenye vituko Tausi Mdegela ‘Miss Iringa’ anasema kuwa hakuna mtu muhimu sana katika maisha yake ya sanaa kama msanii nyota katika vichekesho King Majuto, kwani bila mchekeshaji huyo hakuna mtu yoyote angemjua kupitia sanaa.
“Mimi bwana Mzee King Majuto ni baba yangu haswa, maana bila yeye hata wewe usingenijua nilikuwa kila nikiomba watu nionyeshe kipaji changu cha uigizaji wanakataa kunisapoti, lakini nilipokutana na Mzee Majuto hakuninyanyapaa,”anasema Tausi.
Msanii huyo...
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tausi Likokola azindua vazi la amani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.
Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba.
Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa...
10 years ago
Michuzi24 Sep
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Bila King Majuto Usingenijua- Tausi
Msanii wa kike mwenye vituko Tausi Mdegela ‘Miss Iringa’ anasema kuwa hakuna mtu muhimu sana katika maisha yake ya sanaa kama msanii nyota katika vichekesho King Majuto, kwani bila mchekeshaji huyo hakuna mtu yoyote angemjua kupitia sanaa.
Mimi bwana Mzee King Majuto ni baba yangu haswa, maana bila yeye hata wewe usingenijua nilikuwa kila nikiomba watu nionyeshe kipaji changu cha uigizaji wanakataa kunisapoti, lakini nilipokutana na Mzee Majuto hakuninyanyapaa,”anasema Tausi.
Msanii huyo...