Tausi- 1: Dume hupendeza kuliko jike
LEO tumuangalie ndege ambaye watu wengi wanamfahamu kwa sababu ni moja kati ya ndege wanaofurahisha sana macho kutokana na uzuri wa rangi zake. Ni ndege Tausi. Tausi ni ndege aliye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVICVo3Uv0zZkeUybOZImrzFZsP*W-qs009MaxcH63ZDDTBr1fHPZS42wj3wf9MFjl6VnFGFFphKfK2jEA1sjKN3/JikeDume.jpg)
JIKE DUME LAZUA KIZAAZAA
10 years ago
Michuzi24 Sep
SIKILIZA RHUMBA JIPYA LA ISHA MASHAUZI A.K.A JIKE LA SIMBA
10 years ago
MichuziSikiliza Audio ya Mahojiano ya Swahilivilla na Mwanamama 'Power Black Nyati 'Jike Jeuri',
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-w*FIZbCu5hIbqapEPKmb7M5PmdSJDQXrcy-HWkq2iMRULv68OuX*y7ehNKlj-lb2hWtjIRjhy2RN7NQlmFpf-s/JIKEJEURI.jpg?width=650)
POWER BLACK NYATI 'JIKE JEURI' NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*54juLYOTrMVMlG-oGRDNNmMJebs0h5UY5dPNyWG1VCFAPXXJTUxJmwq3uMH6JASkEVKO9pbNSYu-sBxJtIIo6moQXa0CFcS/FCVRTY.jpg)
TAUSI AMPAGAWISHA MWARABU
11 years ago
Bongo504 Jul
10 years ago
Bongo Movies11 Aug
Tausi: Bila King Majuto Usingenijua
Msanii wa kike mwenye vituko Tausi Mdegela ‘Miss Iringa’ anasema kuwa hakuna mtu muhimu sana katika maisha yake ya sanaa kama msanii nyota katika vichekesho King Majuto, kwani bila mchekeshaji huyo hakuna mtu yoyote angemjua kupitia sanaa.
“Mimi bwana Mzee King Majuto ni baba yangu haswa, maana bila yeye hata wewe usingenijua nilikuwa kila nikiomba watu nionyeshe kipaji changu cha uigizaji wanakataa kunisapoti, lakini nilipokutana na Mzee Majuto hakuninyanyapaa,”anasema Tausi.
Msanii huyo...
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Thamani ya Tausi waijua polisi Pakistan
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Tausi Likokola azindua vazi la amani
NA CHRISTOPHER MSEKENA
ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.
Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba.
Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa...