Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiemba afurahia kuweka rekodi akiwa Azam

Kiungo wa Azam, Amri Kiemba amesema anafurahia kutua katika klabu hiyo kwani kutampa fursa ya kushiriki mashindano ya kimataifa mapema mwakani huku akiweka rekodi ya kipekee.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ya Kiemba yatimia Azam

Simba imekubali kumwachia kiungo wake Amri Kiemba achezee kwa mkopo Azam ambako atasajiliwa kwa dau la Sh10 milioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawa atua Azam, Kiemba agomewa

Wakati beki wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Paschal Serge Wawa akimwaga wino mkataba wa miaka miwili kuichezea Azam, Simba imekataa maombi ya Azam kumsajili kiungo Amri Kiemba kwa mkopo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi Kuu kuweka rekodi matangazo ya Tv

Kuna uwezekanao mkubwa wa kupanda kwa gharama za matangazo ya televisheni kwa ligi kuu England

 

9 years ago

Mwananchi

Maxime ataka kuweka rekodi Mtibwa Sugar

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema anasubiri kwa hamu kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na timu hiyo akiwa kama kocha na mchezaji, rekodi ambayo haina mwenyewe hadi sasa klabuni hapo.

 

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure ashinda tuzo ya BBC na kuweka rekodi mpya

Toure

Kiungo wa klabu ya Manchester City ya England na timu ya taifa Ivory Coast Yaya Toure ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika inayotolewa na Shirika la Utangazaji nchini England (BBC) kwa mwaka 2015.

Toure

Toure anakuwa mchezaji watatu ambae amewahi kuchukua tuzo hiyo mara mbili akiungana na Nwanko Kanu pamoja na Jay-Jay Okocha (wote wa Nigeria) ambao waliwahi kutwaa tuzo hiyo mara mbili.

Nyota huo wa Ivory Coast amesema anajivunia kuwa mshindi wa tuzo hiyo ambayo mshindi hupatikana kwa kupigiwa...

 

9 years ago

Bongo5

Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard

Huu umekuwa mwaka mzuri kwa Drake. Aliachia mixtape ya ushirikiano na Future, What a Time To Be Alive na sasa amefikisha nyimbo 100 kwenye chart ya Billboard Hot 100 tangu aanze kufanya muziki miaka sita iliyopita. Rapper huyo anayetokea nchini Canada alikuwa na nyimbo 92 kabla ya mixtape yake kutoka Jumapili iliyopita ambapo nane kati […]

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU

Mzazi wa mtoto Idda Baitwa,Bw Respcius Baitwa akifanya maandalizi na mwanae ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akiwa na baba yake mzazi Bw Respcius Baitwa pamoja na ndugu zake wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akijiandikisha katika lango la Umbwe la kupanda mlima Kilimanjaro kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.nyuma yake ni Bw...

 

10 years ago

Michuzi

ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA



 Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari Meneja Mkuu wa Alliance Autos Wayne Mcintosh(kushoto) Akipata picha na Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof

 Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof


Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani