CHUJI ATUA OMAN KUCHEZA SOKA
![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5OQ8B*MH-H8gfdrdoSpvdgvZB8SLaat9G*MSYPtKPVK9CVMnygcu4KaTvXm5oOzq1ORsfWJ3ct0sxgrtU8*rwW/chuji.jpg)
Kiungo mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’. Na Richard Bukos KIUNGO mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’, jana Alhamisi aliondoka nchini kuelekea Oman kukamilisha mipango ya kuichezea Oman FC ya nchini humo inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza. Chuji, akizungumza na gazeti hili dakika chache kabla ya kuondoka, akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, alisema amefarijika kupata timu nje...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Chuji atua Azam
11 years ago
CloudsFM03 Jul
ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC
Aliyekuwa kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' akiwa mzoezini na klabu bingwa ya Tanzania Bara, Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Chuji akifanya yake leo mazoezini.
PICHA NA BINZUBEIRY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s72-c/IMG_1511.jpg)
BINGWA WA KUCHEZA NA PIKIPIKI ATUA NCHINI LEO KUTOA BURUDANI COCO BEACH, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-gE9dL31M6FU/VGhTwSWvRGI/AAAAAAABFcA/i3zrGU2ETFU/s1600/IMG_1511.jpg)
MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zqLCj82mPHw/VGhTp-wN13I/AAAAAAABFbk/TjorHg6pPII/s1600/IMG_1439.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K5zLRw7wdGU/VGhTpUKAAdI/AAAAAAABFbg/VqFk6TAxP8U/s1600/IMG_1451.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Mar
MTAZAMO: Tumewazuia watoto kucheza soka mitaani!
11 years ago
Bongo508 Aug
Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CpfFXob7wTE/default.jpg)
9 years ago
Bongo530 Sep
TFF yamfungia Juma Nyoso kucheza soka kwa miaka miwili
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10