MTAZAMO: Tumewazuia watoto kucheza soka mitaani!
Tanzania kama jamii, tulikuwa tukishiriki katika michezo ya kikabila kabla ya kuja ukoloni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 May
MTAZAMO: Ligi imemalizika, misingi ya soka bado ni tatizo
>Nimekuwa shuhuda wa muda mrefu wa mechi za Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kwenye viwanja mbalimbali nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5OQ8B*MH-H8gfdrdoSpvdgvZB8SLaat9G*MSYPtKPVK9CVMnygcu4KaTvXm5oOzq1ORsfWJ3ct0sxgrtU8*rwW/chuji.jpg)
CHUJI ATUA OMAN KUCHEZA SOKA
Kiungo mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’. Na Richard Bukos KIUNGO mkongwe Athumani Idd ‘Chuji’, jana Alhamisi aliondoka nchini kuelekea Oman kukamilisha mipango ya kuichezea Oman FC ya nchini humo inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza. Chuji, akizungumza na gazeti hili dakika chache kabla ya kuondoka, akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, alisema amefarijika kupata timu nje...
9 years ago
VijimamboBUNGE LA WATOTO OYSTERBAY SHULE YA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
Abdallah Waziri - ambaye ni mmoja wa watoto wa mitaani aliyerudishwa shule kwenye kikao cha leo.
Abdallah Waziri, Asia Mtibua na Mwalimu Gaudensia Igoshalimo wakimkaribisha Abdallah Waziri shuleni.
Mmoja wa wajumbe akitoa maoni yake katika kikao cha bunge katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani akifuatilia hoja kwa makini.wakati kikao cha bunge la watoto likiendelea katika shule ya oysterbay mkoani manyara
Mbunge Nasri Selemani ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa...
9 years ago
MichuziBUNGE LA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI MKOANI MANYARA WAFANIKIWA KUWARUDISHA WATOTO WA MITAANI SHULE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Bongo508 Aug
Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/CpfFXob7wTE/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Tusiwanyanyapae watoto wa mitaani
HIVI sasa kuna wimbi la watoto wa mitaani katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ambao hawana uangalizi kama walivyo watoto wengine. Ni fursa sasa kwa jamii kujiuliza...
9 years ago
Bongo530 Sep
TFF yamfungia Juma Nyoso kucheza soka kwa miaka miwili
Kamati ya uendeshaji ya ligi kuu Tanzania Bara iliyokutana September 29 kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya ligi kuu na ligi daraja la kwanza nchini, imemfungia nahodha wa Mbeya City, Juma Nyoso kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili. Pia imempiga faini ya shilingi milioni mbili kuafutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji […]
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Watoto wa mitaani wanavyobakwa Sumbawanga
>Watoto kulawitiwa ili wapate hifadhi ya kulala au kupewa chakula kizuri ni sehemu ya maisha ya baadhi ya watoto waishio mitaani mjini Sumbawanga mkoani Rukwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania