Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Song astaafu soka ya kimataifa
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ndoto ya Didier Drogba nchini Brazil
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFqWbUHE*do-ujR2dvql-QcaTmAP-VsYLZUsPNCyttDd-chbw43DMyY8sC7EaQdYtK6aaZ*JWiLdVejKpym-Zaj/drogba.jpg)
DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA
10 years ago
Vijimambo28 Jul
DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA
![do](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/do.jpg)
11 years ago
Bongo526 Jul
Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja
9 years ago
Bongo512 Nov
Video: Didier Drogba na wenzake wakicheza ‘Selfie’ ya Koffi Olomide
![didier-drogba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/didier-drogba-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide, Selfie unazidi kushika umaarufu kila kukicha na kupendwa na watu wa rika tofauti tofauti duniani.
Didier Drogba ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Montreal Impact ya nchini Canada, ni miongoni mwa watu waliovutiwa na wimbo huo.
Drogba na wenzake walionekana wakicheza wimbo huo katika vyumba vya kubadilishia nguo vya klabu ya Montreal baada ya kumalizika kwa mechi ya ligi ya Marekani ‘MLS’
Wimbo huo upo kwenye albamu mpya ya Koffi Olomide,...
11 years ago
Bongo506 Aug
Rihanna anataka kununua club kubwa ya UK, amuomba ushauri Didier Drogba