Rihanna anataka kununua club kubwa ya UK, amuomba ushauri Didier Drogba
Rihanna anasemekana kuwa na nia ya dhati kutaka kununua club ya soka ya Uingereza na tayari amezungumza na Didier Drogba ambaye ni rafiki yake wa karibu ili ampe ushauri. Rihanna akishangilia kwenye mechi ya kombe la dunia, Brazil Muimbaji huyo mwenye miaka 26 pia amepanga kuanzisha chuo cha michezo nchini kwao Barbados na kisha anapenda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ndoto ya Didier Drogba nchini Brazil
11 years ago
Bongo508 Aug
Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
10 years ago
Vijimambo28 Jul
DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA
![do](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/do.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFqWbUHE*do-ujR2dvql-QcaTmAP-VsYLZUsPNCyttDd-chbw43DMyY8sC7EaQdYtK6aaZ*JWiLdVejKpym-Zaj/drogba.jpg)
DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA
9 years ago
Bongo512 Nov
Video: Didier Drogba na wenzake wakicheza ‘Selfie’ ya Koffi Olomide
![didier-drogba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/didier-drogba-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide, Selfie unazidi kushika umaarufu kila kukicha na kupendwa na watu wa rika tofauti tofauti duniani.
Didier Drogba ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Montreal Impact ya nchini Canada, ni miongoni mwa watu waliovutiwa na wimbo huo.
Drogba na wenzake walionekana wakicheza wimbo huo katika vyumba vya kubadilishia nguo vya klabu ya Montreal baada ya kumalizika kwa mechi ya ligi ya Marekani ‘MLS’
Wimbo huo upo kwenye albamu mpya ya Koffi Olomide,...
11 years ago
Bongo526 Jul
Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Drogba anataka kuwa kocha wa Chelsea
5 years ago
Daily Mail03 Apr
Samuel Eto'o and Didier Drogba criticise plan to test coronavirus vaccine in Africa