Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rihanna anataka kununua club kubwa ya UK, amuomba ushauri Didier Drogba

Rihanna anasemekana kuwa na nia ya dhati kutaka kununua club ya soka ya Uingereza na tayari amezungumza na Didier Drogba ambaye ni rafiki yake wa karibu ili ampe ushauri. Rihanna akishangilia kwenye mechi ya kombe la dunia, Brazil Muimbaji huyo mwenye miaka 26 pia amepanga kuanzisha chuo cha michezo nchini kwao Barbados na kisha anapenda […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndoto ya Didier Drogba nchini Brazil

Ivory Coast ina kibarua dhidi ya Ugiriki kutaka kunyakua nafasi katika timu bora 16. Drogba anasimulia ndoto yake

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa

Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]

 

10 years ago

Vijimambo

DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA

doBaada ya kumaliza mkataba wake na Chelsea, mshambuliaji wa Ivory Coast, Didier Drogba amesaini mkataba wa miezi 18 wenye thamani ya dola milioni tatu kwa mwaka na klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani na Canada, Major League Soccer.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Stamford Bridge baada ya kuichezea timu hiyo mechi 381 na kushinda makombe manne ya Premier League.Rais wa klabu hiyo yenye makazi yake nchini Canada, Joey Saputo alisema kumchukua mshambuliaji...

 

11 years ago

GPL

DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA

Drogba baada ya kurejea kundini. Didier Drogba wakati akifanyiwa vipimo (kushoto). Kulia akisaini mkataba wa mwaka mmoja Chelsea.…

 

9 years ago

Bongo5

Video: Didier Drogba na wenzake wakicheza ‘Selfie’ ya Koffi Olomide

didier-drogba

Wimbo wa msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide, Selfie unazidi kushika umaarufu kila kukicha na kupendwa na watu wa rika tofauti tofauti duniani.

Didier Drogba ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Montreal Impact ya nchini Canada, ni miongoni mwa watu waliovutiwa na wimbo huo.

Drogba na wenzake walionekana wakicheza wimbo huo katika vyumba vya kubadilishia nguo vya klabu ya Montreal baada ya kumalizika kwa mechi ya ligi ya Marekani ‘MLS’

Wimbo huo upo kwenye albamu mpya ya Koffi Olomide,...

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja

Club ya Chelsea FC imetangaza kuwa imemrudisha kundini mshambuliaji Didier Drogba. Drogba ambaye alikiacha kikosi hicho mwaka 2012, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo. Baada ya kusaini mkataba mpya Drogba alisema: “Ulikuwa ni uamuzi rahisi- Sikuweza kukataa fursa ya kufanya kazi tena na Jose. Kila mmoja anafahamu uhusiano wa kipekee nilionao na […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Drogba anataka kuwa kocha wa Chelsea

Mshambulizi wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast Didier Drogba amesema kuwa atarejea Stamford Bridge kuwa kocha.

 

5 years ago

Daily Mail

Samuel Eto'o and Didier Drogba criticise plan to test coronavirus vaccine in Africa

Samuel Eto'o and Didier Drogba criticise plan to test coronavirus vaccine in Africa  Daily Mail'Africa is not a laboratory' - Drogba joins Eto'o in denouncing 'racist' remarks by French doctors  Goal.comCoronavirus: France racism row over doctors' Africa testing comments  BBC NewsEtoo, Drogba and Demba Ba explode: Sons of b**ches, Africa isnt a laboratory  BeSoccer EN'You're just SH*T!' - Eto'o & Drogba slam medical professors over 'racist' remarks coronavirus vaccine tests should be...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani