DIDIER DROGBA AJIUNGA NA KLABU YA MONTREAL IMPACT YA CANADA
Baada ya kumaliza mkataba wake na Chelsea, mshambuliaji wa Ivory Coast, Didier Drogba amesaini mkataba wa miezi 18 wenye thamani ya dola milioni tatu kwa mwaka na klabu ya Montreal Impact inayoshiriki ligi kuu ya Marekani na Canada, Major League Soccer.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 aliondoka Stamford Bridge baada ya kuichezea timu hiyo mechi 381 na kushinda makombe manne ya Premier League.Rais wa klabu hiyo yenye makazi yake nchini Canada, Joey Saputo alisema kumchukua mshambuliaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Drogba asaini Montreal Impact
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/13034/production/_87367877_drogba_getty2.jpg)
Chelsea in Drogba talks with Montreal
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/AD5D/production/_84518344_drogba2_getty.jpg)
Drogba joins MLS side Montreal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ndoto ya Didier Drogba nchini Brazil
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa
11 years ago
Bongo508 Aug
Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFqWbUHE*do-ujR2dvql-QcaTmAP-VsYLZUsPNCyttDd-chbw43DMyY8sC7EaQdYtK6aaZ*JWiLdVejKpym-Zaj/drogba.jpg)
DIDIER DROGBA AREJEA CHELSEA, ASAINI MWAKA MMOJA
11 years ago
Bongo526 Jul
Didier Drogba arejea Chelsea FC kwa mkataba wa mwaka mmoja
9 years ago
Bongo512 Nov
Video: Didier Drogba na wenzake wakicheza ‘Selfie’ ya Koffi Olomide
![didier-drogba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/didier-drogba-300x194.jpg)
Wimbo wa msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide, Selfie unazidi kushika umaarufu kila kukicha na kupendwa na watu wa rika tofauti tofauti duniani.
Didier Drogba ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Montreal Impact ya nchini Canada, ni miongoni mwa watu waliovutiwa na wimbo huo.
Drogba na wenzake walionekana wakicheza wimbo huo katika vyumba vya kubadilishia nguo vya klabu ya Montreal baada ya kumalizika kwa mechi ya ligi ya Marekani ‘MLS’
Wimbo huo upo kwenye albamu mpya ya Koffi Olomide,...