Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Song astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji wa Cameroon West Ham Alex Song amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya kujumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Etoo astaafu soka ya kimataifa

Mshambulizi wa Cameroon Samuel Etoo amestaafu soka ya kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa

Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.

 

11 years ago

Bongo5

Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa

Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Xavi Hernandez astaafu soka

Kiungo wa Barcelona na Spain Xavi Hernandez ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Steven Gerrard astaafu soka

Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34

 

10 years ago

Mwananchi

Tegete astaafu soka, Kaseja anayenitaka aje nipo

Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Jerryson Tegete ameamua kupumzika kucheza soka msimu ujao, wakati kipa Juma Kaseja akisema yuko tayari kucheza timu yoyote inayomhitaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Li Na astaafu tenisi

Mchezaji nambari moja wa Tennis nchini China LI Na amestaafu

 

10 years ago

GPL

DCI MNGULU ASTAAFU

Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa SpringBoks astaafu

Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani