Song astaafu soka ya kimataifa
Mchezaji wa Cameroon West Ham Alex Song amestaafu kucheza soka ya kimataifa baada ya kujumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Didier Drogba astaafu soka ya kimataifa
Mchezaji soka maarufu wa Ivory Coast Didier Drogba, ametangaza kustaafu soka ya kimataifa.
11 years ago
Bongo508 Aug
Didier Drogba astaafu kucheza soka la kimataifa
Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba leo (Agosti 8) ametangaza kustaafu kucheza soka la kimataifa na timu yake ya Ivory Coast, lakini ataendelea kuichezea timu yake ya Chelsea. Drogba mwenye miaka 36, aliichezea timu yake ya taifa michezo 104 na kufanikiwa kufunga magoli 60. “Kwa masikitiko makubwa nimechukua uamuzi kwa kustaafu soka la kimataifa” Drogba aliandika […]
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Xavi Hernandez astaafu soka
Kiungo wa Barcelona na Spain Xavi Hernandez ametangaza kustaafu soka la kimataifa.
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Steven Gerrard astaafu soka
Nahodha wa England na Liverpool Steven Gerrard ametundika daruga akiwa na miaka 34
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Tegete astaafu soka, Kaseja anayenitaka aje nipo
Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Jerryson Tegete ameamua kupumzika kucheza soka msimu ujao, wakati kipa Juma Kaseja akisema yuko tayari kucheza timu yoyote inayomhitaji.
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
10 years ago
GPLDCI MNGULU ASTAAFU
Aliekuwa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu. Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu amestaafu leo baada ya kufikia kikomo cha umri kisheria (zaidi ya miaka 60). Kwa sasa nafasi yake amekaimu, Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya. Kamanda Diwani Athumani aliyewahi kuiwa Kamanda Mkuu wa Polisi Mkoa wa… ...
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Nahodha wa SpringBoks astaafu
Nahodha wa kikosi cha mpira wa Raga nchini Afrika Kusini Jean de Villiers amestaafu katika raga ya kimataifa baada ya kuambiwa kwamba hatoweza kucheza tena katika mechi za kombe la dunia kutokana na jeraha la taya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania